Ni kweli lakini, tafadhali kwa anaefahamu tovuti yao naomba atufahamishe.
Abadan sijakutana na muhiyimu wa chuo hicho wala kupata kusikia machapisho ama mihadhara ya kitaaluma kutoka chuoni hapo
Hahahahaha, smart move kutoka kwa mwenyeji wako. Atleast hakuna cha kujutia.
Kwa upande mwingine hata wewe pia ulikolea kutambo hata kabla ya jamaa kufanya hiyo plan ya kutoka. Hahahahahaaa ndio maana hakuna maswali ama residtance popote ktk story yako you just went with the flow (kama maji...
Tuache maneno na majigambo mengi, siku zote mbwa mkali huwa hapazi sauti. Na ukitaka kuuchukia moto jaribu kuukumbatia. MUKAMASIMBA furahia moto kwa mbali na toa maoni yako kuwa moto huo sio mkali na hauna madhara, subiri ukukaribie utajuta.
HINT:
Kukachapa karwanda ni rahisi sana ukizingatia...
Kama redio inapiga sana kelele bila kukoma na ukijaribu kupunguza sauti inakataa, dawa ni kuchomoa waya wa umeme ama kutoa betri kwa sisi tulio kijijini. Nadhani waungwana mmenielewa in relation to our noisy neighbours :kev: TPDF - FIB nice work.
For our noisy neighbours :kev: this is just a...
Tatizo ninaloliona katika hili swala zima la utaalamu, uchunguzi na uchunguzi wa kitaalamu ni kuwa "Ile fimbo ya kumuulia nyoka (itakayotumika kumuulia nyoka) ndiyo hasa ambayo nyoka mwenyewe amejiviringishwa kwayo".
Kwa maana kuwa wao wanaodhaniwa na kutuhumiwa wamehusika ndio haswa ambao...
Kwani Huyu jamaa hana hata jina la ukoo? Ni mtanzania gani ambao ana majina matatu halafu yote ni ya kizungu? Anyways zote ni movie tuu. Kwa anaefuatiliia, mnakumbuka reaction ya polisi kuhusu sababu za kifo cha marehemu they are very contradictory.
Mi nadhani hii ni mutual hata upande "ke" ukishughulikiwa vyema na kuwezeshwa kupata mishindo Kadhaa nao hulala na kama hutakuwa na mautundu ya kukumbuka kumswafi anaweza kupitiliza hadi . . . Swala ni mautundu tuu, maana by experience hata upande "me" Kama haujapewa mchezo na mautundu ya...
Kama kumbu kumbu zangu zippo sahihi, hii ndege alipewa baba wa taifa enzi zilee za wakati wake. Yasemekana pia alipewa Kama zawadi in personal capacity na yeye akaitoa kwa serikali ya chama kimoja ambacho yeye ndie alikuwa kiongozi wake so the registration five hotel charlie charlie mike(I stand...
Kama muungano utavunjika basi TIC inawahusu, maana wana majumba na mashamba kibao upande wa pili (bara). Itakuwa Kama Mayotte ambayo ni Ufaransa iliyo Afrika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.