Ninaweza nikahisi lengo la swali / hoja pendekezwa yako; ila umesahau sana kuwa kwa kuandika hivyo ni kama kumtuma mtu akaonje maji ya bahari mtwara, mafia, Dar, Tanga, Pemba, Zanzibar nk na unatazamia majibu yafanane kwa kuwa yote ni bahari ya hindi. Kua uyaone!!
Swali ni la jumla kidogo. We unapenda nini?
Utalii wa kupanda milima?
Utalii wa kitamaduni na kuona maisha ya wenyeji?
Utalii wa kuona wanyama kwenye mbuga au zoo?
Utalii wa kutembea mjini?
Utalii wa usiku?
Utalii wa uwindaji?
Utalii wa misitu?
Orodha ni ndefu mkuu !!
Sio sahihi bali uchaguzi wa wazazi kuchagua shule za mbali ni sababu mojawapo. Pia ratiba za shule zinawabana watoto haswa wenye ufaulu mdogo kuunganisha na tuition baada ya masaa ya kawaida ya masomo.
Nilimwona mchaga wa moshi kirua vunjo hapo sinza aliondoka kwao mwishoni mwa miaka ya 70 na hajakanyaga tena makwao. Yuko tu hapo nyuma ya msikiti wa palestina kwenye mabati anarost mihogo yake.
Mpaka unahisi kapigwa kafie mbali na wadau wake.
Sijui wewe ni jinsia gani ila kama ni mwanaume wewe hakikisha mwanamke wako anakupenda saana na anaogopa kukupoteza. Hivyo atakuheshimu na kukusikiliza na atakutii.
Mtihani wa kwanza keshafeli. Wewe ni namba 2. Anasubiriwa namba 1 aconfirm kama yupo tayari kuchukua jumla.
Akijua hana mpango...
Hoja nyingine za ajabu. Au ndo kusema uislam ulikuwepo kabla ya mohammad? Au kabla ya Jackobo? Au mohamned aliishi kabla ya Jackobo? Ni kwanini waislam kila siku ni kutafuta hoja kinzani na ukristo? Mbona wakristo hawahangaiki na uislam ?
Au tunye hapa haja kubwa ya kunuka mkeka uharibike?
Inakaribia sasa wiki sasa bila taarifa kwa wateja channel za Upendo na Joy Tv zimeondolewa king'amuzi cha Azam.
Hii imetokana na nini? Anayejua atujuze tafadhali maana hiyo ilikuwa sababu mojawapo ya kununua king'amuzi hicho.
Kama vipi tujue la kufanya.
Combi za PCM, PCB ni mara chache sana kupata walimu wazuri kwa masomo yote matatu.
Achana na shule, ufaulu unategemea mambo mengi mfano.
1. Huko o level ulitafuniwa au una msuli wa kupiga topic bila mwalimu? A level utapiga msuli wa kutosha. Material ni mengi.
2. Ufaulu unategemea uwezo wenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.