Mkuu, binadamu wana tofauti, hawafanani. Kile ambacho wewe unakiona cha ajabu, kwa wengine wanaona si ajabu.
Huo "usahihi" unautafsiri kutoka kwenye mwongozo upi? Isijekuwa utashi wako na preferences zako unataka ziwe za wote.
Kuna mambo ambayo wewe unayafanya na unayaona ni "sahihi" kwako ila...
Ili usipate kero kama hiyo, achana na kuangalia status za watu. Kwani zinakuingizia kipato chochote? Nenda kapige kazi.
Mimi kwa siku huenda nisiangalie status hata moja. Nikiangalia nyingi kwa siku hazizidi 3.
Kwanza unatafuta nini kwenye status za wanaume wenzio?
Sijui kama mtoa mada ushaweka huo mfumo au ulighairi. Kabla hujafunga, nenda pale DIT onana na mtu anaitwa Gurti. Ndiye mtaalamu wa huu mfumo. Mtashauriana kabla hujaamua la kufanya.
Unapofunga huu mfumo, hakikisha plugs zako ni original. Pia zipo plugs maalumu kwa CNG. Plugs zinazoendana na...
Kama ni mkazi wa Dar nenda pale DIT ukaongeze mfumo wa gesi. Utaipenda upya gari yako. Gari yangu ni ya 1800cc. Bajeti ya gesi kwa wiki ni kati ya sh 23000/- hadi 45000/-. Wiki hii nikijaza mara 2 basi wiki ijayo nitajaza mara moja. Kwa wiki ninatembea 300km.
Sijui kwa upande wako hizo zilizochoka umezionea wapi. Barabara ninazopita kila siku kwenda kazini na kurudi (Morogoro na Mandela) huwa naona bajaj za gesi ndio mpya na zina body safi sana kuliko za petroli. Na zina mwendo mzuri tu. Labda huko ulikoziona huwa wananunua kwa hawa ambao wamezitumia...
Mkuu, kila mmoja ana mapito yake katika maisha na hayafanani na ya mtu mwingine. I wouldn't draw conclusions on behalf of others when I know absolutely nothing about them or their endeavors. Everyone has a different path, that doesn't necessarily equate to yours. Kile ambacho wewe tayari...
Inawezekana kabisa. Mimi nilinunua gari toka Japan 2014 na lilikuwa limetembea 93,000km. Zaidi nilikuwa naitumia kwa kwenda kazini na kwa siku nilikuwa ninatembea 22km kwenda na kurudi.
Kazi yangu haikuhitaji kwenda kila siku. Mara nyingi nilikuwa naenda mara 3 kwa wiki na wk'nd kutoka mara...
Kuna watu wawili ofisini yaliwakuta haya. Wa kwanza aliwapa lift wanafunzi wa sekondari, wakashuka na laptop yake. Wa pili aliwapa lift watu tu barabarani. Akafika mahali akaingia dukani mara 1. Aliyekuwa kakaa 'siti' mbele akabeba simu ya aliyewapa lift. Kuna mmoja nilikuwa nampa lift, akishuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.