PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 13,296
- 42,812
Gari zenye CC 2500 nakuendelea hizi zinafaa Sana safari ndefu, Miji yenye foleni kama DAR hata Sisi tunaotumia CC 2000 ni majanga pia kwenye wese
Fafanua vzr mkuu..shida ipo kwenye nini specifically2AZ engine za 2009 kushuka ni majanga
Gharama zipoje MkuuKama ni mkazi wa Dar nenda pale DIT ukaongeze mfumo wa gesi. Utaipenda upya gari yako. Gari yangu ni ya 1800cc. Bajeti ya gesi kwa wiki ni kati ya sh 23000/- hadi 45000/-. Wiki hii nikijaza mara 2 basi wiki ijayo nitajaza mara moja. Kwa wiki ninatembea 300km.
Akauze kwa wachina haswa wale wa mikoani wanazipenda hizo gariMnataka aliuze, sasa amu uzie nani ilo janga labda akawakamate wasukuma huko. Samahani sana shemeji zangu wasukuma
Bei elekezi ni 2.5mil, inategemea pia na ukubwa wa injini.Gharama zipoje Mkuu
Acha kabsaUzi wa wataalamu
Hivi ni wapi wanao badili mifumo ya gesi ?Funga mfumo wa gesi ni around 2m kwa gari yenye 6 cylinder. Kubadili engine kutoka 1mz kwenda 2az itakucost parefu sana
DIT pale chuoni, pia kuna garage ambazo zinafanya hizo kaziHivi ni wapi wanao badili mifumo ya gesi ?