aise pole sna ila fanya kitu kimoja ebu ukifika kwako chukua karatasi andika matatizo yako yooote uliopitia ktk maisha yako ambayo yamekataa kukutoka na ukimaliza fanya iwe dozi uyasome kila siku unapotaka kulala ndani ya siku 21 maana maneno yaliyoko kwenye karatasi huw yanasahaulika mapema...
wao kumbe ni kitomyboy nilkuwa nataman itokee tomy boys humu humu maana kuna watu walinibishia eti siwawezi sasa nataka nianze na huyu afu ntawaletea mrejesho wana jamvi humu humu.
KWANI WAO SIO BINADAMU MBONA MNALETA UBAGUZI WA KIPUUZI , UKICHAA NI UGONJWA KAMA YALIVYO MAGONJWA MENGINE SASA KAMA MKE WANGU ALKUWA MZIMA BAADAE AKACHIZIKA NTASHINDWAJE KUMBANDUA KAMA KAWAIDA ACHANE HIZO BINADAMU WOTE NI SAWA MBELE ZA IUSO WA MUNGU
ha ha ha huyu atakuwa kamaliza chuo ametafta kazi na ametuma cv nyingi hajaitwa kokote sasa ameanza kuogopa na kuona hajui kuandika cv ata akigogle hata elewa na hata amin kuwa ni format nzuri acha aliwe ataacha baada ya kutuma hata hyo na bado asipata kazi apo ndo atakuja kuamin time and...
Mkuu tatizo ni changamoto za maisha ambazo mtu huwa anapitia kumbuka wazazi wetu wengi maisha yao ni duni na vitu unavyovitaja utotoni kuvifikia vinahtaji gharama ambazo wao hawawezi kuzimudu.
AISE YAAN UNATUMIA NGUVU NYINGI KUVUNJA NDOA Y DADA YAKO KWA KISINGIZIO CHA MANYANYASO AMBAYO YY MWENYWE KARIDHIKA NAYO KWANI WW HUNA MICHEPUKO ACHA AKILI ZA KUSHIKWA NA WW
haa ww kama haujapkutana na bahati hyo ni ww tu ila wapo wengi mm nathibitisha hilo na nimeweza kukaa naye zaid ya miaka minne hiv ndo tumekuja kuachana
ha ha ha ha kuna rafiki zangu kadhaa siku hizi utasikia wanasema ntakosa imani na CDM kama tundulisu akihama, ila lowasa kwa mm japo ni mtu sikumpenda kuingia chadema ila kwa kitendo cha juzi
sjaona kosa lake maana ka specify kabisa baadhi ya vitu alivyo sifia na hakusema vyote kwa huyo Mbowe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.