mkuu,
nahisi we hujamwelewa judith, mtoa mada kasema milioni 15,500,000/- yaani milioni milioni kumi na tano na nusu au 15,500,000,000,000/- in figures! hizo si mil 15.5 tshs, bali trilioni 15.5 tshs., ni sawa na bajeti ya serikali karibia ya miaka miwili! ndo maana judy akauliza, hizo si...