Recent content by Mtu Mbadi

  1. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kumbe Mzena Hospital iko pia Zanzibar

    Haha huu mtaa Bana
  2. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Ni kozi gani ukimuona mtu anasoma chuo unabaki unasikitika?

    Hapa umewapiga watu kamba hizo kozi watu wanaajiriwa sana Halmashauri na TFS currently.
  3. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa wahitimu wa CBG

    Hii sio kweli, nimesoma SUA , rafiki zangu watatu ninao wafaham wamesoma CBG A Level wamepiga, mmoja BVM mwingine Animal Science na wa Mwisho Food science.
  4. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Admin anaetoa mikeka, Perdiem za Nanenane Dodoma zimemnogea katusahau Jobless mpaka nanenane iishe..✍️🚴
  5. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Basi ngoja tuendelee kusubiri, bila kuchoka.
  6. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Jumapili huwa wanatoa Pdf kweli
  7. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongera Sana mkuu, ukawe Mtumishi mwema huko uendapo 💯
  8. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Badili password kama wanavosema halafu utuambie kama bado kuna shida, Over!
  9. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Kesho watu wanaanza zero week , jipange mwakan
  10. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Saa 16:10 bado bila bila
  11. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Upo sahihi lakini suala la database lipo, mimi nilichokuwa nataka faham ni kama kuna mtu amewahi itwa hata kama ile one year ya database imesha expire..
  12. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Mambo kumbe ndivo yalivo.. lakini database naamin ipo kwa kada zote.
  13. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Naam Mkuu.
  14. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Wakuu kuna mtu ana ushuhuda wa kuitwa kazini au kusikia mtu wake wa karibu ameitwa kazini kupitia Database hata baada ya ule muda wa Database ku expire??
  15. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Basi hapa kitu cha msingi ni kukomaa na Web tu kuchungulia portal na PDF ndio vina matter.
Back
Top Bottom