Recent content by Mtu Mbadi

  1. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Upo sahihi lakini suala la database lipo, mimi nilichokuwa nataka faham ni kama kuna mtu amewahi itwa hata kama ile one year ya database imesha expire..
  2. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mambo kumbe ndivo yalivo.. lakini database naamin ipo kwa kada zote.
  3. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Naam Mkuu.
  4. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu kuna mtu ana ushuhuda wa kuitwa kazini au kusikia mtu wake wa karibu ameitwa kazini kupitia Database hata baada ya ule muda wa Database ku expire??
  5. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Basi hapa kitu cha msingi ni kukomaa na Web tu kuchungulia portal na PDF ndio vina matter.
  6. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Okay hapo nimekupata mkuu.
  7. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Unamaanisha ulikuwa not Selected for Oral, then status inasoma hi
  8. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hiyo N/A mbele yake bila shaka ni Not Attended sio, maana kama ulihudhuria inakuwa haipo.
  9. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Washushe mzigo heavy jobless wafurahi
  10. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Dah kale ni Ka PDF uchwara, sema atleast huenda leo wakashusha kitu heavy.
  11. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Huenda ni hivo aisee
  12. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Aisee kazi kweli, kumbe
  13. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mbombo ngafu..Jobless wenzangu habari gani? Mna uhakika hawa jamaa wa PSRS hawajatusahau kweli.🤐
  14. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nilimaanisha kuwa ni takriban siku 11 hakuna PDF lolote limetolewa na utumishi kwa kada yoyote ile, haijalishi waliofanya usaili mwaka huu au mwaka jana... Bila shaka umeelewa?
  15. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hujaelewaa nilichoandika..... mwenyewe nimepiga Oral hiyo tarehe
Back
Top Bottom