Upo sahihi lakini suala la database lipo, mimi nilichokuwa nataka faham ni kama kuna mtu amewahi itwa hata kama ile one year ya database imesha expire..
Wakuu kuna mtu ana ushuhuda wa kuitwa kazini au kusikia mtu wake wa karibu ameitwa kazini kupitia Database hata baada ya ule muda wa Database ku expire??
Nilimaanisha kuwa ni takriban siku 11 hakuna PDF lolote limetolewa na utumishi kwa kada yoyote ile, haijalishi waliofanya usaili mwaka huu au mwaka jana... Bila shaka umeelewa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.