Recent content by Mtu Mbadi

  1. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa wahitimu wa CBG

    Hii sio kweli, nimesoma SUA , rafiki zangu watatu ninao wafaham wamesoma CBG A Level wamepiga, mmoja BVM mwingine Animal Science na wa Mwisho Food science.
  2. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Admin anaetoa mikeka, Perdiem za Nanenane Dodoma zimemnogea katusahau Jobless mpaka nanenane iishe..✍️🚴
  3. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Basi ngoja tuendelee kusubiri, bila kuchoka.
  4. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Jumapili huwa wanatoa Pdf kweli
  5. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongera Sana mkuu, ukawe Mtumishi mwema huko uendapo 💯
  6. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Badili password kama wanavosema halafu utuambie kama bado kuna shida, Over!
  7. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Kesho watu wanaanza zero week , jipange mwakan
  8. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Saa 16:10 bado bila bila
  9. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Upo sahihi lakini suala la database lipo, mimi nilichokuwa nataka faham ni kama kuna mtu amewahi itwa hata kama ile one year ya database imesha expire..
  10. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Mambo kumbe ndivo yalivo.. lakini database naamin ipo kwa kada zote.
  11. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Naam Mkuu.
  12. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Wakuu kuna mtu ana ushuhuda wa kuitwa kazini au kusikia mtu wake wa karibu ameitwa kazini kupitia Database hata baada ya ule muda wa Database ku expire??
  13. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Basi hapa kitu cha msingi ni kukomaa na Web tu kuchungulia portal na PDF ndio vina matter.
  14. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Okay hapo nimekupata mkuu.
  15. Mtu Mbadi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Unamaanisha ulikuwa not Selected for Oral, then status inasoma hi
Back
Top Bottom