Recent content by Mtu Mbadi

  1. Mtu Mbadi

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Bila kumsahau wa Placement
  2. Mtu Mbadi

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Nasikia ni mwisho wa mwezi huu
  3. Mtu Mbadi

    Experience ya dawa za nguvu za kiume

    Hii ni sahihi 100%
  4. Mtu Mbadi

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sizani maana si saivi ukiingiza index number tayari taarifa zinavutwa automatic kutoka necta, lakini kwa uhakika zaidi ni Bora uwasiliane nao wao PSRS
  5. Mtu Mbadi

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    IT hata leo huinui mashabiki ?
  6. Mtu Mbadi

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hayupo serious kabisa na jobless [emoji2] Sent from my SM-G9280 using JamiiForums mobile app
  7. Mtu Mbadi

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wewe umejiajiri Sent from my SM-G9280 using JamiiForums mobile app
  8. Mtu Mbadi

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Naam mkuu. Sent from my SM-G9280 using JamiiForums mobile app
  9. Mtu Mbadi

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sio kweli mtaalam, nimeshuhudia kada zaidi ya moja wanatangaza nafasi kadhaa na wanaita watu zaidi ya nafasi walizo tangaza, kiufupi haya mambo hayana formula kivile. Sent from my SM-G9280 using JamiiForums mobile app
  10. Mtu Mbadi

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wewe unaongea hivo kama nani mkuu, Utumishi au Samia? Maana nijuavo mimi hata kama sio mara zote, wanaweza tangaza 5 wakaita 5 na bado wakaendelea kuita zaidi ya hao sometimes. Sent from my SM-G9280 using JamiiForums mobile app
  11. Mtu Mbadi

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Bora hii maumivu ni ya muda flan badae unapotezea, kuliko Selected for Oral halafu jina kila siku hulioni
  12. Mtu Mbadi

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ni siku nyingine tena ya kuendelea kuishi kwa matumaini huku tukipiga misele Ajira portal na Web ya PSRS kuona kama yaliyomo yamo. Sent from my SM-G9280 using JamiiForums mobile app
  13. Mtu Mbadi

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ngoja tusubiri tuone mtaalam
Back
Top Bottom