Mama angu mzazi kule nyamainza misungwi anasema tusimchukie jpm ana kitu kizuri mbele yetu,,anasema tumwombee tu.nami huwa natumia fursa hiyo kuamini na kumwombea
Mimi ningeuliza kwanini anabana matumizi ilhali hakuna madawa ( msd inaidai haileti dawa vituoni kisa deni? Pia ningeshauri asibane matumizi kwenye masuala ya Afya za wananchi)
Vyeti vya mbowe atakuwa navyo tu,kama alisoma na kufaulu sioni kama yeyekuja kuanika vyeti vyake hapa kutaleta tija yeyote,ikionekana viko OK utajidikiaje!mtazamo wangu, tunakosa vitu vya msingi vyenye tija vya kujadili jf.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.