Recent content by mtove

  1. mtove

    Kisa cha john sanga

    John sanga ,nimecheka sna
  2. mtove

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Mama angu mzazi kule nyamainza misungwi anasema tusimchukie jpm ana kitu kizuri mbele yetu,,anasema tumwombee tu.nami huwa natumia fursa hiyo kuamini na kumwombea
  3. mtove

    Aina za makalio ya wanawake wa Bongo

    Lakwako linaitwa paapu huwa linatikisika kidogo pia hupendwa sana na wanaume
  4. mtove

    Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

    Sipendagi ujinga Mimi, mambo ya dini na serikali wapi na wapi,siamini kama mh rais huwa anauliza dini kuwa kigezo
  5. mtove

    Dada yangu ananitaka kimapenzi

    Dhamira yako inasemaje! ?
  6. mtove

    Ni kwanini wanaume wafupi wanakuwa ni wakorofi.?

    Ufupi ni relative term can you qualify! Kama kuanzia cm kadhaa hadi kadhaa!
  7. mtove

    Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

    Mimi ningeuliza kwanini anabana matumizi ilhali hakuna madawa ( msd inaidai haileti dawa vituoni kisa deni? Pia ningeshauri asibane matumizi kwenye masuala ya Afya za wananchi)
  8. mtove

    Hivi ni nini kinachowachanganya wanaume waonapo mwanamke mwenye makalio makubwa?

    Binafisi napenda sana makalio makubwa,hunitoi hapo mzigo uliofungasha hunitoi kamwe!
  9. mtove

    Rais Magufuli sitisha mambo yote wekeza kwenye Elimu bora kwanza

    Kupanga ni kuchagua,ila busara na hekima yatakiwa itumike ili kuepuka kuumiza RAIA
  10. mtove

    Je, Mbowe alipataje cheti cha Form Four ilhali hajawahi kufanya na kufaulu mtihani huo?

    Vyeti vya mbowe atakuwa navyo tu,kama alisoma na kufaulu sioni kama yeyekuja kuanika vyeti vyake hapa kutaleta tija yeyote,ikionekana viko OK utajidikiaje!mtazamo wangu, tunakosa vitu vya msingi vyenye tija vya kujadili jf.
  11. mtove

    Tuliosoma Sayansi na Hisabati tukutane twende kwa Waziri Jaffo kuomba kufundisha sekondari

    Ati Mimi nipo dar! Kwa walioko mikoani ...........! Binafisi huwa sipendi kuita wa mikoani,ukishasema hivyo Mimi huwa sina deal na wewe tena!
Back
Top Bottom