MTV MBONGO
JF-Expert Member
- Feb 18, 2016
- 1,262
- 1,220
- Thread starter
- #161
history-histriHistory- inatamkwa hisitiri na siyo Hisitore.
history-histriHistory- inatamkwa hisitiri na siyo Hisitore.
Au ChechiChurch ni chouch na sio chachi
Mnhhh ... Phology inapatwa huku jamaniii.... OOOUPPSSS....
Via ni vayaWistle-n wiso sio wisto
zingine mnatunga, hivi kweli kuna mtu anatamka KUKUMBE, nimecheka sana
Kila taifa linatamka kulingana na lafudhi yao ingawa kiingereza ni kile kile. Kuna nchi ambazo hata uwashikie bakora hawataweza kutamka Kiingereza kama inavyotakiwa, Wabongo tunajitahidi sana kwa sababu lafudhi yetu haijaharibu lugha ya Kiingereza1. Advertisement-linatamkwa 'Advatizment' na siyo 'Advataizment'
2. Pharaoh-linatamkwa 'Fero' na siyo 'Farao'
3. Answer-'ansa' na siyo 'answa'
4. Hour-'awa' na siyo 'hawa'
N.B Karibuni kwa nyongeza
hujaeleweka mkuuMassachusetts inatamkwa ma-suh-CHOO-suhts na siyo masachuseti
Mkuu tukitamka det sijui kama tutaeleweka kwa watu aiseedebt ni det na sio debit
purpose = peepes na sio papas
Hilo neno RED ndio dubwasha gani tena au wamaanisha phonology inayotamkwa
Mkuu vip ukiwa unadaiwa unasemaje kwa kiingereza, kwa mfano unataka kusema "ninadaiwa kodi na mwenye nyumba" au unataka kusema "ninamdai Juma pesa zangu"1. Advertisement-linatamkwa 'Advatizment' na siyo 'Advataizment'
2. Pharaoh-linatamkwa 'Fero' na siyo 'Farao'
3. Answer-'ansa' na siyo 'answa'
4. Hour-'awa' na siyo 'hawa'
N.B Karibuni kwa nyongeza
Clothes inatamkwa klauz.clothes inatamkwa cloths( klo-dz) cyo klo-thez