Kaheshimu kwanza ya CdmNi raia wa Tanzania ninayeilinda na kuheshimi katiba yetu
Ni msemaji bubu wa CHADEMAWewe nani!!!!
Nyumbu hazai swala kama bosi hataki tatizo liwekwe wazi unategemea nn kwa wajakazi, pengine wanayofanya Ma dc ni maelekezo ya mamlaka ya uteuziYani mtu anaripoti tatizo badala ya kulitatua na kushukuru kwa kukuonesha jambo wewe unamkamata huh!!!!masikini watanzania.
Ni Kweli Tupu.Tena nadha wataamuharakishia uwaziri kamili wa wizara fulan baada ya fulan kutumbuliwa
May be kuna jingine zaidi ya hilo, huwezi juwa.Yani mtu anaripoti tatizo badala ya kulitatua na kushukuru kwa kukuonesha jambo wewe unamkamata huh!!!!masikini watanzania.