KARIBUNI KWENYE HIKI KISA CHANGU NA HUYU DADA.
Way back miaka ya 2013 nikiwa bado nipo skul, kijijini kwetu walihamia watu wa familia moja wakitokea mkoa mwingine wakaja hapo kijijini kwetu mkoa X. Katika hiyo familia kulikuwepo mtoto wa kike ambaye ni age mate lakini kanizidi mwaka mmoja...
Kuna watu thamani katika maisha yetu hapa duniani wapo na wanaweza wakawa ni wa muhimu katika negative way au positive way.
Ukiachana na ndugu wa faida na wazazi bado kuna watu baki wanaweza kuibika katika nyakati flani ambazo uliwahitaji kwa udi na uvumba.
Binafsi mimi kuna hawa watu wawili...
Yoh sikia
Tuliza kichwa kijana, maisha hayataki mchezo
Uliza watu wa jana, waleo hawana wajuacho
Wapo wapo tu kitaa, kesho yao ni mafumbo
Ukijifanya mjuzi sana, utaacha ndala bwamdogo
Ukipandisha mabega, utaishia kuwa MALEBO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.