Utofaauti wa Goat na huyu mtoto ni kwamba GoAt anakufanya uamini kwamba kwenye mpira hakuna kitu kisichowezekana na unapoona kugumu yeye anafaulu na haumfanyi chochote
Nauwezo wa kukupatia hiyo acid ila kwanza nambie una matumiz gani nayo na je unahitaj ya aina gan organic au inorganic na ni ipi specifically eg HCl, H2SO4, C2H2O4 au ipi?
Hapa kitaani kwetu kuna jamaa mmoja ambaye kwa muonekano wake anaonekana kuwa kama ni kichaa ila anafikirisha.
Huyu jamaa anatabia moja akipita kijiweni akakuta masela anajamba bonge moja la ushuzi Kwa sauti kubwa hafu anavua li pensi lake anakung'uta kama vile katoka kuifua hafu anaigeuza nje...
Sasa kuacha kazi wasaf kabla hawajapata kazi kunatofauti gani na endapo wangepata kazi kwanza ndiopo wakaacha wasafi wakati hata wasafi penyew hawalipwi mishahara sasa mtu asiyelipwa mshahara na kila siku anaitumia nauli au gharama za mafuta kwenda kazini si ni Bora na jobless aliyetulia home
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.