Recent content by MtotoKautaka

  1. M

    JamiiForums Tanzania Huyu sio mwanao usimfokee, kama umechoka sepa! – Maneno ya singo mama

    Anashindwa vipi kuachana naye?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

    Duh umekula kaka angalia bia zisikuuwe
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mama mwenyenyumba anataka niichape ili nimpe laki 1 ana shida nayo

    Thread ingesomeka malaya ambaye ndo mwenye nyumba wangu anahitaji nimpe laki moja niichape
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mnaomfananishaga Lionel Messi na Cristiano Ronaldo huwaga mnatumia nini kufikiri?

    Kipaji pekeake hakitoshi kukufanya uwe mtu exceptional, goat kwangu ni mtu special anakipaji halafu ana bidii sana
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mnaomfananishaga Lionel Messi na Cristiano Ronaldo huwaga mnatumia nini kufikiri?

    Utofaauti wa Goat na huyu mtoto ni kwamba GoAt anakufanya uamini kwamba kwenye mpira hakuna kitu kisichowezekana na unapoona kugumu yeye anafaulu na haumfanyi chochote
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nimempa Spain Mazima, nimeweka 1,724,000

    Pole sana ndugu yangu
  7. M

    JamiiForums Tanzania Tuambie wallet yako ina kitu gani hapo?

  8. M

    JamiiForums Tanzania Naweza pata wapi Tindikali?

    Kama unaenda kumdhuru mtu sikupi
  9. M

    JamiiForums Tanzania Naweza pata wapi Tindikali?

    Nauwezo wa kukupatia hiyo acid ila kwanza nambie una matumiz gani nayo na je unahitaj ya aina gan organic au inorganic na ni ipi specifically eg HCl, H2SO4, C2H2O4 au ipi?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Huyu ni kichaa kweli au anaigiza? Labda akipigwa akili itakaa sawa

    Hapa kitaani kwetu kuna jamaa mmoja ambaye kwa muonekano wake anaonekana kuwa kama ni kichaa ila anafikirisha. Huyu jamaa anatabia moja akipita kijiweni akakuta masela anajamba bonge moja la ushuzi Kwa sauti kubwa hafu anavua li pensi lake anakung'uta kama vile katoka kuifua hafu anaigeuza nje...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Uume hausimami baada ya kutumia tadalafi mara 40 kwa miaka 3 wakati Tofauti Tofauti

    Miaka 38 bado sana unaonekana wewe ni mvivu wa mazoez wafanya sana mazoez kurudisha confidence na kukufanya uwe na endurance katika tendo
  12. M

    JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Mimi mwanamke ambaye hata vocha ya 10k hawezi kujinunulia siwez date naye never
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kinachoniuma zaidi Ambangile na Ahmed mmeacha Kazi Wasafi Media Group na sasa hamna Kazi huku mkiwa na Wake zenu Warembo sana

    Sasa kuacha kazi wasaf kabla hawajapata kazi kunatofauti gani na endapo wangepata kazi kwanza ndiopo wakaacha wasafi wakati hata wasafi penyew hawalipwi mishahara sasa mtu asiyelipwa mshahara na kila siku anaitumia nauli au gharama za mafuta kwenda kazini si ni Bora na jobless aliyetulia home
Back
Top Bottom