Recent content by MtotoKautaka

  1. M

    JamiiForums Tanzania Omba Mungu usifike huku

    Pole na hongera sana
  2. M

    JamiiForums Tanzania Omba Mungu usifike huku

    Wakufanya kama hivi simuoni....
  3. M

    JamiiForums Tanzania Simu Inauzwa

    190k hupat mteja
  4. M

    JamiiForums Tanzania Huyu sio mwanao usimfokee, kama umechoka sepa! – Maneno ya singo mama

    Anashindwa vipi kuachana naye?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

    Duh umekula kaka angalia bia zisikuuwe
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mama mwenyenyumba anataka niichape ili nimpe laki 1 ana shida nayo

    Thread ingesomeka malaya ambaye ndo mwenye nyumba wangu anahitaji nimpe laki moja niichape
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mnaomfananishaga Lionel Messi na Cristiano Ronaldo huwaga mnatumia nini kufikiri?

    Kipaji pekeake hakitoshi kukufanya uwe mtu exceptional, goat kwangu ni mtu special anakipaji halafu ana bidii sana
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mnaomfananishaga Lionel Messi na Cristiano Ronaldo huwaga mnatumia nini kufikiri?

    Utofaauti wa Goat na huyu mtoto ni kwamba GoAt anakufanya uamini kwamba kwenye mpira hakuna kitu kisichowezekana na unapoona kugumu yeye anafaulu na haumfanyi chochote
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nimempa Spain Mazima, nimeweka 1,724,000

    Pole sana ndugu yangu
  10. M

    JamiiForums Tanzania Tuambie wallet yako ina kitu gani hapo?

  11. M

    JamiiForums Tanzania Naweza pata wapi Tindikali?

    Kama unaenda kumdhuru mtu sikupi
  12. M

    JamiiForums Tanzania Naweza pata wapi Tindikali?

    Nauwezo wa kukupatia hiyo acid ila kwanza nambie una matumiz gani nayo na je unahitaj ya aina gan organic au inorganic na ni ipi specifically eg HCl, H2SO4, C2H2O4 au ipi?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Huyu ni kichaa kweli au anaigiza? Labda akipigwa akili itakaa sawa

    Hapa kitaani kwetu kuna jamaa mmoja ambaye kwa muonekano wake anaonekana kuwa kama ni kichaa ila anafikirisha. Huyu jamaa anatabia moja akipita kijiweni akakuta masela anajamba bonge moja la ushuzi Kwa sauti kubwa hafu anavua li pensi lake anakung'uta kama vile katoka kuifua hafu anaigeuza nje...
Back
Top Bottom