Recent content by MtotoKautaka

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilizidisha maringo kwake, nilichoambulia ni tusi la nyukilia

    KARIBUNI KWENYE HIKI KISA CHANGU NA HUYU DADA. Way back miaka ya 2013 nikiwa bado nipo skul, kijijini kwetu walihamia watu wa familia moja wakitokea mkoa mwingine wakaja hapo kijijini kwetu mkoa X. Katika hiyo familia kulikuwepo mtoto wa kike ambaye ni age mate lakini kanizidi mwaka mmoja...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Miongoni mwa watu walionipa msaada katika wakati sahihi, nawapenda sana

    Kuna watu thamani katika maisha yetu hapa duniani wapo na wanaweza wakawa ni wa muhimu katika negative way au positive way. Ukiachana na ndugu wa faida na wazazi bado kuna watu baki wanaweza kuibika katika nyakati flani ambazo uliwahitaji kwa udi na uvumba. Binafsi mimi kuna hawa watu wawili...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Freestyle kuhusu chochote Jukwaa lichangamke

    🙏🙏🙏😄😄
  4. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: SIDO kuunda ndege ya kubeba abiria 500

    Ntakuwa wamwisho kupanda
  5. M

    JamiiForums Tanzania Freestyle kuhusu chochote Jukwaa lichangamke

    Yoh sikia Tuliza kichwa kijana, maisha hayataki mchezo Uliza watu wa jana, waleo hawana wajuacho Wapo wapo tu kitaa, kesho yao ni mafumbo Ukijifanya mjuzi sana, utaacha ndala bwamdogo Ukipandisha mabega, utaishia kuwa MALEBO
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke kila akipata hela lazima anikumbuke hata kama ni hela ndogo, nahisi kumpenda sana

    Makofwiiii 👏👏👏
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke kila akipata hela lazima anikumbuke hata kama ni hela ndogo, nahisi kumpenda sana

    Hahaha kazi ipo 😂😂
  8. M

    JamiiForums Tanzania UFIPA yakumbwa na aibu Nyankumbu -Geita

    KUMBUKA hao hawalipwi Wala kusombwa na maroli wameenda wenyewe Kwa moyo wao tofauti na wengine wa kusombwa sombwa na bila kuahidiwa posho hawaendi
Back
Top Bottom