Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

Kuna muda cashout ilisoma 9.8M just after second goal. Almanusra nicash out, lakini nikasema no potelea mbali. Dakika ya 30 mzigo umepungua mpaka 5M, nikaendelea kubana Mbupu. Hatimaye kanji kalia vilivyo.
Hongea wanatumia utaratibu gani kukulipa? Unavuta kidogokidogo au unawatumia namba ya account
 
Back
Top Bottom