Habari wakuu, dogo ana div 1 alisoma arts na biology ambayo alipata B maths C
Geo C , history A, Eng A, mengine B
Msaada pls amechaguliwa kwenda Tabora girls HGL lakini maono yake ni kwenda chuo!
Naomba Mawazo yenu tafadhali kwaufaulu wake ni chuo na kozi ipi aombe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.