Mtoto wawatu
Member
- May 17, 2019
- 15
- 6
Habari wakuu, dogo ana div 1 alisoma arts na biology ambayo alipata B maths C
Geo C , history A, Eng A, mengine B
Msaada pls amechaguliwa kwenda Tabora girls HGL lakini maono yake ni kwenda chuo!
Naomba Mawazo yenu tafadhali kwaufaulu wake ni chuo na kozi ipi aombe.
Geo C , history A, Eng A, mengine B
Msaada pls amechaguliwa kwenda Tabora girls HGL lakini maono yake ni kwenda chuo!
Naomba Mawazo yenu tafadhali kwaufaulu wake ni chuo na kozi ipi aombe.