Recent content by mtoni2020

  1. mtoni2020

    5 Daily habits every one should do to live longer

    Sleeping need to be added as well.
  2. mtoni2020

    Utaalam wanaotumia Wachawi katika kuumiza watu

    Mm imenitokea na mpk sasa nimewekewa majini mwilini mwangu....alieyaweka anaona choxhote nifanyacho nahadikunirekodi matendo yangu...naninamsikia maongezi yakeyote anayofanya na ubaya anaonitendea....huyo hayajamkuta bado
  3. mtoni2020

    Sayansi ya Teknolojia ya Elimu ya Giza(Uchawi), elewa jinsi ilivyo

    Hii mada niyazamani lkn naomba kuuliza swali.... Km wanachukua nguo zako nakuzifanyia uchawi wakuzizika nakugawana...inamaana hatakwafundi nguo tusiwetunapeleka mana nako watatuma majini na kwendabeba nyuzi zinazokatwa....au Hii imekaaje.
  4. mtoni2020

    Yajue maradhi yanayokusumbua kiroho! (Jijue kama umelogwa)

    Rakims....asante sn kwa ujumbe huu unamafundisho mengi hasa sehemu ya pili....imenigusa sn
  5. mtoni2020

    Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

    .. Mzee wa kijiji...umewleza vzr na kwakuongezea vyakula vyautotoni vinachangia sn kua najamii yenye akili ....angalia hayo maeneo yote suala la vyakula vyenye rutuba zote Vinapatikana... Pili tangu alipokuja mkoloni wakristo walipewa kipaombele chaelimu wkt iliuweze ingia kwenye mfumo waelimu...
  6. mtoni2020

    Kipi ni bora; kufikiri kimantiki (Think logically) au kufikiri kwa usahihi? (Think correctly)

    ..... Kama kuna vitu vunavyoendana basi hayo mawazo... You can't think correctly without virtualize first(logically)....lazima ujenge taswira Kwanza halafu ndio you have to think correct...so I thing they are dependent
  7. mtoni2020

    Natafuta Kazi ya Networking/IP Engineer

    ..... GNS3 na hii eve-ng hazina tofauti sn....the latest version inazohizo requirements zote...the best thing nikujua jinsi yakuzitumia kwakua hata window's sv unaweza tumia kwenye gns3 the same to eve-ng....but kijana muomba kazi uckatetamaa
  8. mtoni2020

    Utaalam wanaotumia Wachawi katika kuumiza watu

    Nini kifanyike km umeyajua hayo yote....mana umetoa maelekezo lkn hakuna suluhisho...haya mambo ni mengi sn mijini cku hizi na wanasingizia hali mbaya ya uchumI mana walizoea hela zaburebure na sasa hazipo....solution please!!!!!
  9. mtoni2020

    The White Room Torture:Mateso ya Kikatili bila kuguswa!

    Hata wachawi wanaitumia hii njia...Ila wao wanaitumia taa zile kubwa za maofisini na majumbani za tube kuweza fanya hivyo....the only difference hapa ni kwamba hutambui kwakawaida kinachofanywa....you need to have a 3rd eye....@Mshana Jr atanisaidia hili
  10. mtoni2020

    Kwanini Police kanda ya Dar wanatumia email account ya Google (CIA) wakati kuna servers za bure za serikali? Kuna usiri wa taarifa kweli hapa?

    Nakupunga kaka kua hatuwezi...ilahatujaamua km kweli hawatumii...they can build their own network locally....and only accessible locally...I mean tz only na ikawa ipo secure vzr tu...wapo watz wanajua sn hayo mambo ila maybe hawajapata hio nafasi yakutengeneza sehemu km hizo
  11. mtoni2020

    Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya CUF, Julius Mtatiro atangaza kuachana na chama hicho! Ajiunga na CCM

    Huyu jamaa tangu pindi yupo chuo akiwaalikua katibu wa Daruso km ckosei alikua namisimamo sn......hongera zako mkuu
  12. mtoni2020

    Kwanini Police kanda ya Dar wanatumia email account ya Google (CIA) wakati kuna servers za bure za serikali? Kuna usiri wa taarifa kweli hapa?

    Nijuavyo mm vitu vyote unavyofanya kiofisi lazima utumie barua pepe ya kiofisi na sio yakibinafsi km yahoo au gmail.....
  13. mtoni2020

    Handeni wanakosa soko la mihogo yao

    ....kwa kuanzia wangetengeneza unga ilikuilinda mihogo yao halafu wanasafirisha unga na kuja kuuza mjini....kuliko Kusubiri mpk mabosi waje....wao wenyewe wajisogeze
  14. mtoni2020

    Natafuta kazi ya kufanya kuanzia saa kumi alasiri hadi alfajiri.

    Kwa kazi za professional usiku Kwa maisha ya tz cjui km zipo mfano support kwenye IT...business...data entry yaani mchana unaenda kazini kwako ucku unaenda piga mzigo wakuingiza elful 10-15 Kwa siku....anaejua hii please.
  15. mtoni2020

    Nina degree ya Business Administration in Marketing Management; natafuta kazi ya kudumu, ya muda au internship

    I think kwa huyo unaemtegemea unaweza muambia akupatie km elfu 50...nenda sokoni kachukue mihogo kaanga utaanza kuingza hela wkt unafikiria michongo mikubwa...km unajiko lako tumia hilohilo kuanzisha hio biashara....ukisubiria ya ofisini wkt umekaa nyumbani haikusaidii hata kidogo....plus your...
Back
Top Bottom