Recent content by mtongwe

  1. mtongwe

    Naomba kufahamu sifa na tabia za wanawake wa KIIRAQ /MBULU na WARANGI

    Hivi hao Wana tofauti kubwa na wale wasandawi !!???
  2. mtongwe

    Ushoga na usagaji changamoto zinazowatesa wengi kimyakimya kwenye familia na kwenye ndoa

    Komrade unaposema ni ajali kuna watu watajificha kwenye hiyo term na kusema kuwa ajali haina kinga na hivyo tabia hizo haziwezi kuzuilika Hizo ni tabia mbaya tuu na kwa kizazi cha sasa zinachagizwa na tamaa.....watoto wetu waache na tuwasihi ,tuwafundishe kuwa tamaa ni mbaya
  3. mtongwe

    Yawezekana hali halisi ndani ya Israel ni mbaya kuliko….

    Kule kakimbia kabisa na hutomuona Ttzo ni muongo sana na muoga kupitiliza
  4. mtongwe

    Yawezekana hali halisi ndani ya Israel ni mbaya kuliko….

    Uzuri wako mbeleeeni kabisa huko huwa unaukimbia uzi na kuupita kama huuoni na kujifanya umehamia majarubani kulima mpunga
  5. mtongwe

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Shukran Niliwahi kuangalia pale Kijijini kwetu poripoa
  6. mtongwe

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Game inatarajiwa kuwa saa ngapi
  7. mtongwe

    Unafurahia channel zipi za DSTV?

    Umenikumbusha kitambo sana....huyo mwamba kabelo nilikuwa namkubali sana na bibie Mimi k ,walichangia sana kuboresha ubora wangu wa lugha na kuujua muziki kipindi hicho Ikiwa sijakosea hata huyu vannesa alishawahi kuwa presenter wa hiyo channel
  8. mtongwe

    Mpangaji agoma kuhama baada ya mkataba kuisha. Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?

    Ninachokiona hapo ni Kuna kutunushiana misuli......na kirahisi rahisi humuwezi na atakusumbua sana ukizingatia status yake ni watu wasiojali ,ikiwa anaweza kufunga nyumba na akaenda kuishi popote na haoni ttzo huyo atakusumbua sana Suluhisho ni mambo mawili.....mosi,jishushe na ukubali...
  9. mtongwe

    Mpangaji agoma kuhama baada ya mkataba kuisha. Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?

    Ikiwa ulichotueleza ndo kipo km kilivyo bila ya kuweka udanganyifu basi jambo la kukusaidia kupata stahiki zako ni kufuata taratibu za kumfikisha mahakamani ......hakuna zaidi ya hilo.Maana huyo ni mbabaishaji na anapewa kichwa na wababaishaji wenzake
  10. mtongwe

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Alexis ni WA hapa Leo labda babu Gary McAlister ila pia Bruce hakukutana uwanjani na akina Didi Hamman wala Javier
  11. mtongwe

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Ongezea Moja , Salah mchoyo wa pasi na ni mbinafs,Bora aondoke abaki Saidoo
  12. mtongwe

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Mo Salah Luis Torres
  13. mtongwe

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    zumbemkuu , tafadhwali kaka,naomba taarifa ya uwepo wa mwenyekiti wako,maana ni kipindi sijasoma maoni yake haswa kipindi hiki timu inavyofanya vyema.........au ndo mpk tuanze kudondosha pweinti ndo atajitokeza!!!?
  14. mtongwe

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kwa wanaomjua Dr personally baba saleh,au ambae ana mawasiliano naye ya karibu atupe taarifa ya Hali yake,ni muda hatujamsoma toka baada ya kutujulisha hali yake ya kiafya ilivyokuwa
  15. mtongwe

    GE2025 Bado kuna Fukuto la kwanini Samia hajapitishwa kwenye Chujio !!!

    Madaraka na mihemuko ya wanachama wenye hulka za kichawa na zimefikisha kwenye kona mbaya
Back
Top Bottom