Hii kwa tz uwezi kuonaWanakosaje HGTV licha ya ukubwa wao?.
Daah, channel fulani naipenda sana. Hivi kuna mbadala yake?.Hii kwa tz uwezi kuona
Kwa kidogo sana uwa wanarusha vipindi kwenye real time na TLCDaah, channel fulani naipenda sana. Hivi kuna mbadala yake?.
Umenikumbusha kitambo sana....huyo mwamba kabelo nilikuwa namkubali sana na bibie Mimi k ,walichangia sana kuboresha ubora wangu wa lugha na kuujua muziki kipindi hichoMnet wanasema ilikuwa ni gharama kujiendesha na ilikumbwa na ushindani wa chanetll kama mtv, kama unakumbuka vizuri ilikuwa na premium sound quality, video na kulikuwa na presenters wa karibu kila aina ya muziki, kama kina, mimi k, kabelo, Zannelle etc.
Sidhani kama itajirudia Ile age kwa kweli