Kifo mi mahali popote. Tena kuga juu ya kiuno ni sawa kabisa kwani pale mwanaume anatumia nguvu sana na damu nyingi inakua kwenye uume na isitoshe raha sanaa au maumivu sanaa yanaua
Mwalimu: kama A=B na B=C hivyo A=C. Haya sasa toa mfano halisi wa hapo juu.
Mwanafunzi: kama mwalimu unanipenda mimi na mwalimu unampenda binti yako hivyo mimi nampenda binti yako
Mkuu wa Mkoa hana mamlaka ya kumuhamisha RPC. Chunguza vizuri
Kuna kila dalili za viongozi wa sasa kucopy na kupaste tabia mbaya ya kuhamisha mtu anayevuruga katika eneo moja na kumpeleka eneo jingine. Nimesikitishwa sana na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kumhamisha RPC na kumpeleka Mbeya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.