Msaada_wanawake wa kibena-iringa.

Ukitaka kumuacha ni PM nimunganishie mdogo wangu hajaoa. teh teh. Sio wawazi ni wakimya sana usimmuuzi ovyoovyo.
 
Mhh umeingia choo cha kike, hawa wanawake ni washirikina vibaya mnoo na pia wanapigwa nje kinoma, hao wanaitwa niangusage tu zambi ni zako, hawa Hakuna haja ya kuwatongoza ww unabiga mtama tu akishaanguka chini unajilia kiulaini kabisa,
 
Habar ya lyamba.
ndgu zangu naombeni kpata details za hawa wanawake pia mnijuze mila zao zkoje ktk suala nzima la kuoa.
oa tu hiyo kutaka kuchagua sana utakuja oa zombi
kila kabila/binadamu ana mapungufu na uzuri wake
 
Back
Top Bottom