Recent content by Mtii mkavu

  1. M

    Tetesi: Alikiba kuja na radio yake "king FM"

    Jana fiesta alijaza bonge la nyomi mpk ticketi zilikwisha!!!ss hv akifungua redio na tv yake itakuwa sio mchezo
  2. M

    Tambua Ishara 10 za mwanamke Anayekutaka Kimapenzi

    Mhhh!!!mzigo mezani a.k.a pesa hii ya kumi na mmoja
  3. M

    Ninauza simu na pc

    Ipo laki hapa unauza hiyo sm
  4. M

    Shem kamfukuza dada home..

    Ww ni k au m?
  5. M

    Nyumba za kupanga ni degree tosha

    Ila nyumba za kupanga zinatia sn akili mkuu mauzi yake na kero zake lazima uingie akili plan B sana tu
  6. M

    Wanaume fanyeni Kazi yenu vyema Vitandani kwani Wanawake wenu wakiwa wanawasaliti kwa Wasimamia Ukucha huwa wanawadhalilisha sana!

    Mke wa mtu enhhhe!!!mke wa mtu sumu jiandae na oil chafu ili siku ukikatwa linda ukamuadisie kinchenchede chako
  7. M

    Nakataa kabisa, hali sivyo kama inavyodaiwa

    Bado wasafi festval ipo nyomi kila kona
  8. M

    Mtandao hatari wa kutapeli watu fedha

    Hiyo inaonekana dodoma ss afazali hao kuna wengine nimeona face book wameweka picha ya mo deuji aise eti tuma laki wanakukopesha milion ukituma miliona wanakupa milion kumi wameweka namba za sm ukipiga wanapokea ila ni matapeli aise!!!
  9. M

    Kazi na bata, kebehi kwa Watanzania

    Kafanye kazi mpaka juma pili si unapenda maendeleo ww"
  10. M

    Sijaoa nimechoshwa na kazi za ndani natafuta msichana wa kazi wa kumlipa

    Nimeona kitumbini na upanga kuwa waindi wana wafanyakazi wa kwenda na kuludi yani sio wa kulala nimeona wapo sawa sn
Back
Top Bottom