Zikomo Songea
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 670
- 582
Onyesha solidarity na dada yako. Kwanza, ujue upo hapo kwa ticket yake. Asipokuwepo hata wewe unapoteza uhalali wa kuwepo hapo. Hebu na wewe ondoka.
Ndio ushauri gani huo?? Ungekuwa karibu ningekupiga kibao..hopelessAiish!
Hamia chumbani kwa dadaako
Umreplace
Ukiuliza swali la kijinga utajibiwa kijinga. Tatizo liko wapi??Ndio ushauri gani huo?? Ungekuwa karibu ningekupiga kibao..hopeless
Ndio ushauri gani huo?? Ungekuwa karibu ningekupiga kibao..hopeless
doesn't sound legit be nice homegirl,kweli aka replace dadaake??Ulihitaji ushauri gani kwani?



Dah!Aiish!
Hamia chumbani kwa dadaako
Umreplace
Hivi bado uko hapo au ushajiondoa?!
Ulikuwa mjinga kimsingi....!! Huwezi kuogopa kwenda kwa dada ako eti kisa kesho akifukuzwa au kuachana na mume wake itakuwaje???Binadamu tunatofautiana sana,kipindi nasoma primary ,nilikuwa nasoma mkoa fulani,mbali na nyumbani,ila kwenye huo mkoa alikuwa anaishi dada na mume wake,walikuwa wanapesa sana ila likizo ikifika naenda moja kwa moja nyumbani kwetu,wakiniuliza wewe mtoto mbona hujaenda kwa dada,majibu nilikuwa nimewamic wazazi wangu,
Mpaka namaliza miaka mitatu sikuwahi kwenda kwa dada,
Ilifika likizo ikiisha nafuata na gari mpaka shuleni,ila nikimuona dada lazima nimtoroke tu
Wala sikuwa na ugomvi naye,ila nilikuwa nafikiria kama watagombana itakuaje
Kuna siku baba alimwambia mama ukiniletea ujinga nakufukuza unarudi kwenu,hapo ndo akili ilinikaa vzr
Ndo ikawa sitaki kwenda kwa dada tena umri wangu ilikuwa miaka 11+



Maisha hayaendi hivyo mzee je wasipoachana milele huoni kama utakuwa umetengeneza fikra mbaya kwa shemeji yako...kana kwamba kwenu wamekukataza kwenda huko.. Haukuwa sawaa kabisaUlikuwa mjinga kimsingi....!! Huwezi kuogopa kwenda kwa dada ako eti kisa kesho akifukuzwa au kuachana na mume wake itakuwaje???Maisha hayaendi hivyo mzee je wasipoachana milele huoni kama utakuwa umetengeneza fikra mbaya kwa shemeji yako...kana kwamba kwenu wamekukataza kwenda huko.. Haukuwa sawaa kabisa
