Habari wana jamvi.
Napenda kufahamu kuhusu hiyo kampuni tajwa hapo juu.
Kwa maelezo niliyopata ni kwamba wanahusika na mikopo pamoja na uwekezaji.
Lakini sina uhakika nao.
Kwa yeyote anayefahamu kampuni hii anisaidie kama kuna ukweli.
Mifuko ya hifadhi za jamii no sehemu salama pa kuweka mafao ambao baadaye itamsaidia mwanachama akistaafu kwenye ajira.
Lakini hali hii ni tofauti na jinsi mifuko hizo zinavyojiendesha.
Nitaelezea hujuma ambayo NSSF hufanya Kwa wanachama wake.
[emoji117] Moja ya hujuma kubwa na mbaya zaidi...
Utawapelekea barua ya kuachishwa kazi kutoka kwa mwajiri wako. Baada ya Hapo watakupa fomu utajaza and then watachunguza kama kweli umeacha kazi au la!
Makato ni pesa ulizokatwa kutoka kwenye mshahara wako ambayo wewe unakatwa 10% na mwajiri wako anakuwekea 10%.
Hivyo mafao utalipwa pindi ukifikisha zaidi ya miaka 55 ikiambatana na faida. Lakini ukiamua kuchua hayo makato yako pindi ukiacha kazi utachukua bila faida.
Hivi mnaongelea mafao au makato ya pesa ambazo zilikuwa zinakatwa kwenye mshahara?
Kwa ufupi ni hivi; Mimi niliwahi kuacha kazi na nilipofuatilia mambo ya mafao NSSF nikaambiwa nisubiri hadi miaka 55 ila kama ni makato ya pesa za mshahara wako ndani ya wiki Nne unachukua mpunga wako.
Angalizo...
Embu tuambie Hiyo kesi uliendesha wewe au serikali? Na ilichukua muda gani kabla ya hukumu kutolewa?
Na Hiyo kesi ya madai uliendesha wewe mwenyewe au ulikuwa na Wanasheria?
Sasa Hapo kwenye Hiyo ujumbe ndo nimekusoma vizuri. Kumbe huku tunamjibu mwanamke jeuri.
Hahaaaahaaaa!! Umeniacha hoi. Hata Uzi wako ni stori za Kutunga tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.