Recent content by Mti mkubwa

  1. M

    Wataalamu wa electronic please

    Msaada nina kinga'muzi cha antena cha startimes nimenunua av cable toHDMI nikiunga hakisomi wapi nakosea msaada tafaadhari .Asanteni
  2. M

    Sisi ni soka burudani inaendelea

    Hawa jamaa wamekosa mvuto kabisa hususani baada ya ligi mbali mbali kufikia tamati ,vipindi vyao havina maandalizi.niombe waone uwezekano wa kurejesha fta channel huenda zikasaidia kuwabeba tofauti na hivyo mtakosa wateja
  3. M

    Umri wa kijana Tanzania unaishia miaka mingapi wakuu?

    Ukipata wajukuu mzee,au agemet wako wakipata wajukuu tayari mzee
  4. M

    Asilimia kubwa ya watu mwezi huu wamepata mafua makali yasiyo kawaida

    Hali yangu na familia yangu wote kikohozi na mafua.
  5. M

    Utakatishaji fedha(Money laundering): Dhana iliyojificha kwa wengi!

    Asanteni nami napata mwanga sasa
  6. M

    Utakatishaji fedha(Money laundering): Dhana iliyojificha kwa wengi!

    Nimekuwa nikisikia jambo hili ika kiukweli sijaelewa ,karibuni kuchangia
  7. M

    Tiba ya upungufu wa nguvu za kiume.

    Ni Pm nitakusaidi free of charge ukipata ahueni utaona kinachofaa asante
  8. M

    Maji gani ya chupa unapenda kunywa na kwanini?

    Afya radha nzuri na dew drop nikitembelea mby na sumbawanga pia mazuri na package nzuri
  9. M

    Rais Magufuli amjulia hali na kumshushia maombi mama yake mzazi aliyelazwa hospitalini

    Pole mheshimiwa Mungu ampe wepesi mama yetu apone.AMINA
  10. M

    Kutokana utandawazi: Je,Tanzania inaweza kuomba kuwa sehemu (state) ya Marekani ?

    Ugumu wa maisha ndio ukufanye uwaze hivo kijana chapa kazi utawini tu hapahapa bongo
  11. M

    Tiba mbalimbali.

    Unapatikana wapi,julisha
Back
Top Bottom