Hujanielewa vixur we!nasema aina hii sehemu za nyama ya ngurue km utumbo kichwa na miguu huchukuliwa na mama ntile kwa matumiz mbalimbali km supu mtor n.k
Miguu hutumik sana kwa supu sio utumbo we wamkoa gani kwani
Utumbo kichwa na miguu mamantilie huwa wanachukua kule mchinjioni wanaaandaa supu kutengenezea mtori n.k hivi vitu hutaviona buchani bari kwa mama ntilie nadhani umepata jibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.