BAHARI J
JF-Expert Member
- Nov 2, 2016
- 932
- 1,161
[Utumbo unaliwa mzee Tena safiii tuu ila malanyingi Utumbo hubaki na mchinjaji pale machinjoni.
Utumbo wanguluwe upo tofaut kidogo na Hao wa nyama wengine katika maandalizi Ata upikwaji wake.
Uku kwetu Utumbo wa kitimoto unaukuta kwenye vilabu vya pombe asilia ikiwa umeandaliwa na unakatiwa vipande kulingana nahitaji lako
Huo Utumbo unaliwa Lakin unawapenz wachache kwa kuwa sio salama sana kwa afyaa una minyoo yakutosha nilivo sikia Sina hakika KwakuA mm sio daktar wa mifugo
Utumbo wanguluwe upo tofaut kidogo na Hao wa nyama wengine katika maandalizi Ata upikwaji wake.
Uku kwetu Utumbo wa kitimoto unaukuta kwenye vilabu vya pombe asilia ikiwa umeandaliwa na unakatiwa vipande kulingana nahitaji lako
Huo Utumbo unaliwa Lakin unawapenz wachache kwa kuwa sio salama sana kwa afyaa una minyoo yakutosha nilivo sikia Sina hakika KwakuA mm sio daktar wa mifugo