Recent content by mtemi mazengo

  1. M

    Chadema inatumia suala la Gesi Mtwara kujijenga Kisiasa Mikoa ya Lindi na Mtwara.

    Hivi wewe ndio yule kenneth nollo kusila???yule mpwa wa william kusila uliyeingia ccm kwa kuahidiwa kuachiwa jimbo la bahi Kama urithi, matokeo yake ukaangukia pua wakakunyiMa ubunge 2010 wakampa mwarabu mh baduwel (hata wagogo wenzako tunamwamini mwarabu baduwel kuliko wewe!!) Naambiwa hapa...
  2. M

    Makutano Show: Alichokisema Mhe January Makamba

    Kumbe wewe na facilitator wa matusi na lugha chafu? lazima utakuwa umesahau kumeza zile dawa zako za psychosis bila shaka!
  3. M

    Revealed: Jumuia ya Madaktari waliotharika na mgomo ndio hii

    mkuu sijakuelewa unaposema mwenyekiti wa ccm wilaya ya kinondoni wakili makene? mimi mbona namjua m/kiti anaitwa ARON MWAIKAMBO! Thibitisha jina la nwenyekiti ili nitiririke maana nina ukweli unaohusu ushiriki wa m/kiti wa ccm (W) kinondoni ktk sakata hili ila si kwa jina ulilotaja hapo...
  4. M

    Tamko la Jumuiya ya Madaktari Tanzania

    tunajua mwenyekiti wa jumuiya ya madaktari ni dr ulimboka, je na yeye ameshiriki kuandika taarifa hii??
  5. M

    Kesi ya rushwa dhidi ya Mbunge wa Bahi Mh. Baduweli leo Kisutu

    asante kwa kutukumbusha, aliye na up dates plzzzz
  6. M

    Sebo makutano show: M4C CDM wamecopy na ku paste from Uganda.

    mkuu ,kumbe jamaa ni mganda, sasa mbona ameulizwa na fina kama amehesabiwa ktk sensa amejibu NDIO! kumbe sensa inahusu na waganda?
  7. M

    Sebo makutano show: M4C CDM wamecopy na ku paste from Uganda.

    kaka na mimi namsikiliza ,yaani ni kama pandikizi la magamba katika vyombo vya habari, aangalie ataharibu kipindi cha fina.
  8. M

    Sensa 2012: Yanayojiri

    Kwa nini dodoma vifaa viishe? isije ikawa hawa magamba wamepanga waharibu sensa dom makusudi ili idadi ya watu iwe feki wachakachue vizuri daftari la kudumu la wapiga kura? WAPI GREAT THINKERS
  9. M

    Sensa 2012: Yanayojiri

    naungana na wewe kaka, baada ya kupata hii habari nimewasiliana na jamaa hapa manispaa wamesema ni kweli TOOLS DOWN, vifaa hakuna mkoani wameagiza dar
  10. M

    Sensa 2012: Yanayojiri

    aibu tupu ! JK Kila kitu kinamshinda sasa
  11. M

    Karibu tena Prof. Mark Mwandosya...!

    kwa sasa hawasikii mh mwandosya, pengine watasikia 2015 wakiwa viongozi wa upinzani bungeni
  12. M

    Mh. Kiingunge Ngombale Mwiru, Ushauri wako pale Chimwaga Dodoma Umetufikisha hapa...!

    majuto ni mjukuu ,,,tumvumilie hivyohivyo ni upepo tu,, tumethubutu tumeweza na tunasonga mbele!
  13. M

    Mgomo wa Walimu waiva; watoa notisi ya masaa 48

    binafsi simwamini sana mkoba, i bet hata huu mgomo hautafanyika ni danganya toto
  14. M

    Mgomo wa Walimu waiva; watoa notisi ya masaa 48

    kaka hapo umeenda mbali sana,,
  15. M

    Fanco Kabigi: Dreva Wa Kwanza Wa Muasisi Wa Chadema Azikwa Leo.

    mtoa mada inabidi umuenzi marehemu kwa kuhamia chadema
Back
Top Bottom