Recent content by Mtembezi Kichomi

  1. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Tuvae Condom Wandugu, Nasisitiza

    Ongeza RAM
  2. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Good old days

    Kuna sie wengine ni kama PUTO kunenepa na kukonda vinapishana ndani ya muda mfupi. Ingawa kukonda ni KAZI sana kuliko kunenepa.
  3. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Why Do You Cheat?

    Asipobadilika ndio tumeagana hivyo na akiamua na yeye kuchepuka basi kila mtu ataenda kwa chaguo lake jipya. Pengine ndio ilipaswa kuwa hivyo. Mazungumzo na nasaha zikifeli penzi linakuwa linaenda mrama. Situmii nguvu ila siwezi kuchagua maumivu.
  4. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Sisi Wanaume Wenye Wake Zaidi ya Mmoja na Tunaoweza Kuzisimamia Familia Zetu kwa Haki, Tuwe Tunapewa Maua Yetu Pia

    Nitamlaza njaa Mkuu kwa hizi salary scale za TGS, sio kweli. Ngoja kwanza uwekezaji uitike
  5. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Why Do You Cheat?

    Na cheat kumuonyesha mwenza kuwa maisha yanaweza kuendelea bila uwepo wake. Na hii ni pale nasaha zipogonga ukuta naamini kuwa anataka kufunguliwa mlango wa kwa heri. Akibadilika, michepuko bye bye 👋
  6. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Sisi Wanaume Wenye Wake Zaidi ya Mmoja na Tunaoweza Kuzisimamia Familia Zetu kwa Haki, Tuwe Tunapewa Maua Yetu Pia

    Nisingepitia huu Uzi ningejichanganya kwa Mwalimu mmoja wa shule ya msingi, ningemfanya MKE wa pili. Ila mpaka hapo hiki kikombe kimeniepuka.
  7. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Halotel mbona siwaelewi?

    Ukitaka kuwatusi HALOTEL unabonyeza ngapi Mkuu ?
  8. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Unaweza kutofautisha Ukimya na Jeuri?

    Pole kwa kuvuka mipaka yako 🙏.. Na-enjoy uwepo wako jukwaani. Hoja na hati yako vinanifanya nikufananishe kimtazamo. I feel SORRY.
  9. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Unaweza kutofautisha Ukimya na Jeuri?

    Ila we Binti jamii yako Ina hasara sana huko unakoishi. I'm I, I'm me, Me I am ukute ni I'm Is.
  10. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna starehe bora na tamu kuzidi kusafiri?

    Ile route ni ndefu. Ilifika wakati nilinyanyuka kwenye SITI na kuanza kutembea tembea mule ndani ya BASI. Nilifika nimepauka na mbaya zaidi gari kutokea DAR-ES-SALAAM mpaka BUKOBA ni nyimbo za SAIDA KALOLI tu. Ile siku nilitukana mno ingawa ni kimoyo moyo.
  11. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Unaweza kutofautisha Ukimya na Jeuri?

    Na yajibiwe na Mungu. Maana tukianza kunyanyua vinywa vyetu kuwasemesha basi itakuwa ni mwanzo wa nyie kutukalia KIMYA ama kutukwepa kabisa 🤣.
  12. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna starehe bora na tamu kuzidi kusafiri?

    Hongereni Mkuu. Zamani nilikuwa napenda sana kusafiri ila tangu nibahatike kwenda BUKOBA kutokea DAR-ES-SALAAM kwa BASI, ikawa ndio mwisho wa shauku yangu kupenda SAFARI.
  13. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Unaweza kutofautisha Ukimya na Jeuri?

    Midomo inanuka, SISI sio viburi na wala hatuna dharau. Ngojeni tupone.
  14. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Unaweza kutofautisha Ukimya na Jeuri?

    We dada , kwani wewe ni Mzaramo? 😂 Ukimya sio ujeuri kama mtu anautumia kwa manufaa yake binafsi. Mimi binafsi sio mkimya ila naweza kutumia ukimya kwa manufaa yangu binafsi.
  15. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimefikisha mwaka mmoja without Sex

    Mkuu ungeainisha hizo faida Moja baada ya nyingine ili na sisi wahanga wa NGONO tujitathmini.
Back
Top Bottom