Recent content by Mtembezi Kichomi

  1. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Ujasusi ni kipaji, Ujasusi ni ajira. Unaweza ukawa na kipaji cha ujasusi na usiajiriwe kwa KAZI hio moja kwa moja inagawa itakusaidia kwenye maisha yako kila siku.
  2. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mkopo wa 10% Halmashauri Kigamboni: Mke wangu alipangiwa 9.6M lakini mwisho anaambiwa atapewa 3M – Je, hii ni kawaida?

    Pole. Ila hujaelezea vyema vitu vingi, mfumo wa sasa una timu na wataalamu wa ngazi mbalimbali. Kiufupi wanatathimini uhalisia wa biashara husika, andiko la mradi na uwezekano wa hio biashara kurejesha kulingana na kilichoombwa. Uzuri ni kwamba atarejesha kiasi alichopewa tu.
  3. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu nimekuja tena kwenu kuomba ushauri wenu kwa habari ya kusalitiwa/Cheating

    Sijasoma UZI wa "wanawake muache ushirikina sijui uchawi" hata heading siiikumbuki. Kuanzia sasa anzeni kusali/kuomba pamoja kwa IMANI yenu. Na ikifika hio hatua ya kusalitiwa sambamba na hatua zote, MUOMBEE/FANYA Maombi kwa niaba ya NDOA yenu. Ikishindikana hapo ANZA upya maisha pasina huyo...
  4. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Liwalo na Liwe. Nadhani leo inaweza kuwa mwisho. Naona imefikia hatua ambayo nakosa uvumilivu. Naweza kumpatia mwingine

    Nakazia. Hilo swali la una umri gani ni muhimu sana. Ila yote kwa yote jamaa na demu wake wanapendana sana.
  5. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Wanawake wenye Makebo Makubwa wana sehemu yao kwangu

    Makebo muhimu. Nyakati fulani fulani walisema kuanzisha UZI bila kielelezo ni ubatili. Weka picha ya hayo MAKEBO watu wasiende nje ya MADA.
  6. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Jinsi matapeli wa mjini wanavyotumia "harusi" kupiga pesa; inauma sana

    Kinachofanya kuwe na gharama kwenye HARUSI ni nini mpaka muhusika achangiwe?. Sichangii HARUSI. Naamini muhusika alipaswa kujipanga namna sherehe yake itakavyokuwa kulingana na uwezo wake. Sio uungwana unapiga hesabu zako za bajeti alafu unatafuta watu wakukufikisha kwenye lengo. Hata kama...
  7. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Tuvae Condom Wandugu, Nasisitiza

    Ongeza RAM
  8. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Good old days

    Kuna sie wengine ni kama PUTO kunenepa na kukonda vinapishana ndani ya muda mfupi. Ingawa kukonda ni KAZI sana kuliko kunenepa.
  9. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Why Do You Cheat?

    Asipobadilika ndio tumeagana hivyo na akiamua na yeye kuchepuka basi kila mtu ataenda kwa chaguo lake jipya. Pengine ndio ilipaswa kuwa hivyo. Mazungumzo na nasaha zikifeli penzi linakuwa linaenda mrama. Situmii nguvu ila siwezi kuchagua maumivu.
  10. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Sisi Wanaume Wenye Wake Zaidi ya Mmoja na Tunaoweza Kuzisimamia Familia Zetu kwa Haki, Tuwe Tunapewa Maua Yetu Pia

    Nitamlaza njaa Mkuu kwa hizi salary scale za TGS, sio kweli. Ngoja kwanza uwekezaji uitike
  11. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Why Do You Cheat?

    Na cheat kumuonyesha mwenza kuwa maisha yanaweza kuendelea bila uwepo wake. Na hii ni pale nasaha zipogonga ukuta naamini kuwa anataka kufunguliwa mlango wa kwa heri. Akibadilika, michepuko bye bye 👋
  12. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Sisi Wanaume Wenye Wake Zaidi ya Mmoja na Tunaoweza Kuzisimamia Familia Zetu kwa Haki, Tuwe Tunapewa Maua Yetu Pia

    Nisingepitia huu Uzi ningejichanganya kwa Mwalimu mmoja wa shule ya msingi, ningemfanya MKE wa pili. Ila mpaka hapo hiki kikombe kimeniepuka.
  13. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Halotel mbona siwaelewi?

    Ukitaka kuwatusi HALOTEL unabonyeza ngapi Mkuu ?
  14. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Unaweza kutofautisha Ukimya na Jeuri?

    Pole kwa kuvuka mipaka yako 🙏.. Na-enjoy uwepo wako jukwaani. Hoja na hati yako vinanifanya nikufananishe kimtazamo. I feel SORRY.
  15. Mtembezi Kichomi

    JamiiForums Tanzania Unaweza kutofautisha Ukimya na Jeuri?

    Ila we Binti jamii yako Ina hasara sana huko unakoishi. I'm I, I'm me, Me I am ukute ni I'm Is.
Back
Top Bottom