Recent content by Mtembezi Kichomi

  1. Mtembezi Kichomi

    BoT, TCRA ifanye auditing kwenye mikopo ya Mpesa, Tigo na Airtel . A case of MGODI

    "Informant amekopa kiasi cha 84,800, Mgodi huwa wanakata kwanza riba yao, hivyo muhusika akapokea jumla ya shilingi 68,688 sawa na Makato ya asilimia 19 ( 16, 112) ya 84,800." Sasa hapo kapewa 68,688 karudisha 84,800+4240 (hio ulioandika huko chini) = 89,040. Chukua hio 89,040-68,688 unapata...
  2. Mtembezi Kichomi

    BoT, TCRA ifanye auditing kwenye mikopo ya Mpesa, Tigo na Airtel . A case of MGODI

    Hoja nzuri ila hesabu zako zimezidi chumvi.
  3. Mtembezi Kichomi

    BoT, TCRA ifanye auditing kwenye mikopo ya Mpesa, Tigo na Airtel . A case of MGODI

    Hesabu zina shida haswa hio hoja yako ya pili.
  4. Mtembezi Kichomi

    Kizazi cha sasa ni kizazi jeuri na kiburi

    Me ili nipokee shikamoo yako basi nikuzidi walau miaka 5. Na ili nikuamkie kwa hio kauli ya Shikamoo basi unizidi walau miaka 5 . Kinyume na hapo shikamoo haina matumizi. Salamu nyingine zipo. (Mtoto afundishwe maamkizi na namna ya kutoa salamu sio neno Shikamoo pekee).
  5. Mtembezi Kichomi

    Kizazi cha sasa ni kizazi jeuri na kiburi

    Kwani anazungumziwa mtoto yupi ? Wa umri gani ? au ni wote waliochini ya miaka 18- ?
  6. Mtembezi Kichomi

    Furaha ilioje, leo mimi ni baba wa mapacha!

    Ngoja nimwambie mwanangu ajitunze kaka huenda akabahatika kuwa mkwe (mkwelima) wako Tar : 21/05/2024 ndio amekuja.
  7. Mtembezi Kichomi

    Kwa sasa sipo tayari kuolewa, nahitaji kufanya mambo yangu

    Niwe na Tsh ngapi nisiambiwe haya maneno ? (Kiasi gani cha pesa). Huyo anaeiniambia hivyo anakuwa katika hali gani ya kiuchumi ?. Ninashauku ya kuambiwa hivyo, ila nikuhakikishie tu huku uswahilini kwetu hio kauli hutamkwa na binti asiejitambua tu. Tumezoea vizinga vyetu elfu mbili mbili...
  8. Mtembezi Kichomi

    Umeshawahi kupendwa na Mwanamke usiyempenda?

    Ilinikuta mara mbili.. Ya kwanza huyu binti alikuwa jirani yetu na kiukweli hakuwa mbaya ila bahati mbaya kwake nilikuwa na mahusiano na binti mzuri zaidi yake na alikuwa anajua. Ya pili nilipendwa na JEFUNEBA (jeusi, fupi, nene, baya) na huu unafiki wangu kukataa siwezi nikawa namuonesha...
  9. Mtembezi Kichomi

    Watoto wanafunzi wa madrassa wamuua Imam aliyekua anawalawiti

    Wavulana wakajua dawa ya usingizi ya kumpa mtu ? Ila wavulana hawakuwa na uwezo wa kushitaki mahala popote ulimwenguni? Hawana wazazi ? ama hao watoto walitelekezwa ? ama hio madrasa ni ya bweni ? Kwamba wanafanyiwa ulawiti Leo kisha kesho wanarudi tena ? Kwamba kurudi tena kulawitiwa ni...
  10. Mtembezi Kichomi

    Zawadi imesababisha ugomvi na wife, leo nimenasa wakuu

    Mkeo anawashwa (KUMLADHI).... ashakum si matusi.
  11. Mtembezi Kichomi

    Kizazi cha 1978-1985 hatuzeeki. Je, unajua sababu?

    Kwaio mh. Ridhwan alikosa virutubushi utotoni sio ??
  12. Mtembezi Kichomi

    Ukweli ni kwamba hakuna mwanamke anaweza kumwacha handsome man. Utamkwaza atakaa pembeni lakini baada ya muda mfupi atakuhitaji tena.

    Kaka kwani kuwa below 25 ndio kigezo cha kuwa mpumbavu. Mtoa mada ni mpumbavu tu hata akisema ni above 25 haibadilishi upumbavu wake. Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
  13. Mtembezi Kichomi

    Ulishawahi kunusurika kifo? Ulijisikiaje vile unaona kabisa unaondoka

    Ni kweli hii namba tatu hunikuta haswa nikiwa nimelala chali. Ukitoa ngono basi starehe yangu nyingine ni kulala. Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom