Asipobadilika ndio tumeagana hivyo na akiamua na yeye kuchepuka basi kila mtu ataenda kwa chaguo lake jipya. Pengine ndio ilipaswa kuwa hivyo.
Mazungumzo na nasaha zikifeli penzi linakuwa linaenda mrama.
Situmii nguvu ila siwezi kuchagua maumivu.
Na cheat kumuonyesha mwenza kuwa maisha yanaweza kuendelea bila uwepo wake.
Na hii ni pale nasaha zipogonga ukuta naamini kuwa anataka kufunguliwa mlango wa kwa heri.
Akibadilika, michepuko bye bye 👋
Ile route ni ndefu. Ilifika wakati nilinyanyuka kwenye SITI na kuanza kutembea tembea mule ndani ya BASI.
Nilifika nimepauka na mbaya zaidi gari kutokea DAR-ES-SALAAM mpaka BUKOBA ni nyimbo za SAIDA KALOLI tu. Ile siku nilitukana mno ingawa ni kimoyo moyo.
Hongereni Mkuu.
Zamani nilikuwa napenda sana kusafiri ila tangu nibahatike kwenda BUKOBA kutokea DAR-ES-SALAAM kwa BASI, ikawa ndio mwisho wa shauku yangu kupenda SAFARI.
We dada , kwani wewe ni Mzaramo? 😂
Ukimya sio ujeuri kama mtu anautumia kwa manufaa yake binafsi.
Mimi binafsi sio mkimya ila naweza kutumia ukimya kwa manufaa yangu binafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.