Why Do You Cheat?

Why Do You Cheat?

Kwanini unatumia nguvu kumuonesha hivyo hivi unadhani inasaidia?
Hua unapata furaha au una mkomoa

Vp asipobadilika na yeye akatafuta mchepko?
Asipobadilika ndio tumeagana hivyo na akiamua na yeye kuchepuka basi kila mtu ataenda kwa chaguo lake jipya. Pengine ndio ilipaswa kuwa hivyo.

Mazungumzo na nasaha zikifeli penzi linakuwa linaenda mrama.

Situmii nguvu ila siwezi kuchagua maumivu.
 
Nasikia kwenye sources za ugaidi na huu mtandao umetajwa, please ninPM nipate mawasiliano yako kabla haijawa tatizo.

Ni tetesi na uzi umewekwa
 
Back
Top Bottom