ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,044
- 125,135
Tatizo hampendi tukisema ukweli mjukuu...Babu unasema 😊😎
Tatizo hampendi tukisema ukweli mjukuu...Babu unasema 😊😎
ShikamooAjabu ni kwamba na pesa zenyewe hawazipati/hawana! 😊
Mambo ya Malovee 😊
Sometimes watu walio penzini au kwenye ndoa hujikuta tu kwenye mtego wa cheating
Wengine huja na visingizio au sababu mbalimbali
Mwingine anasema, Sipewi hata nikiomba kwa chozi
😀 Basi anajikuta amecheat
Mwingine anasema, Mume haniridhishi
Akipiga kimoja cha kuku, anakoroma mpaka asubuhi🙄
Mwingine anasema,
Nilitaka kupata experience
Kuna rafiki yangu aliolewa akiwa bikra
Kadiri alivyokuwa akikaa na kusikia wanawake wakihadithiana mambo ya jigijigi, na ukizingatia mume alikuwa na maudhi, akaamua kutaka kupata experience huko nje
Japo anasema hakuna furaha yoyote aliyopata zaidi ya kujutia tu
Sasa wewe unadhani cheating inasaidia au inabomoa kabisa pale penye ufa?
Nini kilikufanya uka-cheat?
Unajutia?
Umeacha au bado unaendelea?
Huwa hujisikii vibaya ukimcheat wa ubani?
-Au hujawahi kabisa?
Friday night 🤗
ShesRise_1 ✋️
Na cheat kumuonyesha mwenza kuwa maisha yanaweza kuendelea bila uwepo wake.Mambo ya Malovee 😊
Sometimes watu walio penzini au kwenye ndoa hujikuta tu kwenye mtego wa cheating
Wengine huja na visingizio au sababu mbalimbali
Mwingine anasema, Sipewi hata nikiomba kwa chozi
😀 Basi anajikuta amecheat
Mwingine anasema, Mume haniridhishi
Akipiga kimoja cha kuku, anakoroma mpaka asubuhi🙄
Mwingine anasema,
Nilitaka kupata experience
Kuna rafiki yangu aliolewa akiwa bikra
Kadiri alivyokuwa akikaa na kusikia wanawake wakihadithiana mambo ya jigijigi, na ukizingatia mume alikuwa na maudhi, akaamua kutaka kupata experience huko nje
Japo anasema hakuna furaha yoyote aliyopata zaidi ya kujutia tu
Sasa wewe unadhani cheating inasaidia au inabomoa kabisa pale penye ufa?
Nini kilikufanya uka-cheat?
Unajutia?
Umeacha au bado unaendelea?
Huwa hujisikii vibaya ukimcheat wa ubani?
-Au hujawahi kabisa?
Friday night 🤗
ShesRise_1 ✋️
Nimeshamjibu huko page za juuKumpenda tu haitoshi mkuu, inahitajika nguvu ya ziada ila ujibu swali la mjukuu ipasavyo😅😅
Shikamoo
Babu sema mi nakuamini sana 😆Tatizo hampendi tukisema ukweli mjukuu...
Sijambo kabisa nipo hivi 💪Marahaba, hujambo binti!
Kwa sababu Mzee mmoja ninayemheshimu na kumwamini hapa mtaani aliniambia, "mwanangu wanawake wantofautiana utamu", nilipojaribu nikaona ni kweli.Kwanini sasa
Hujutii after?
Sijambo kabisa nipo hivi 💪
Kwanini unatumia nguvu kumuonesha hivyo hivi unadhani inasaidia?Na cheat kumuonyesha mwenza kuwa maisha yanaweza kuendelea bila uwepo wake.
Vp asipobadilika na yeye akatafuta mchepko?Na hii ni pale nasaha zipogonga ukuta naamini kuwa anataka kufunguliwa mlango wa kwa heri.
Akibadilika, michepuko bye bye 👋
Hii imekaa vizuri mjukuu wangu! Hamna kitu kizuri kama imani.Babu sema mi nakuamini sana 😆
Hebu kalale.Nimefanyaje kwani!
Wow 😊😊 nina imani kali kwa babuHii imekaa vizuri mjukuu wangu! Hamna kitu kizuri kama imani.
Aisee wewe tumechelewaKwa sababu Mzee mmoja ninayemheshimu na kumwamini hapa mtaani aliniambia, "mwanangu wanawake wantofautiana utamu", nilipojaribu nikaona ni kweli.
Yaani nakuambia hadi Leo hii naendelea kuchiti tu. Siwezi kula chakula kilekile, I need balanced diet.
Sasa unafanya nataka kupata goosebumps, sijui kiswahili niaje hapo...😅😅Wow 😊😊 nina imani kali kwa babu
Msisimko au🙄Sasa unafanya nataka kupata goosebumps, sijui kiswahili niaje hapo...😅😅
Ewaaaa, maneno yako mjukuu! Unataka nipandishe sukari yangu sasa😅😅Msisimko au🙄
Babu yangu mzurii 🤣🤣
We una UKIMWIMpaka nivae kondom akighairi
Uwiii tulia we babu sitaki kumpoteza babu mie🤣🤣Ewaaaa, maneno yako mjukuu! Unataka nipandishe sukari yangu sasa😅😅