Ni chuo kikuu cha kumbukumbu ya Sebastian Kolowa maarufu SEKOMU, kimeendelea na taratibu zake kuendesha mambo katika hali isiyokuwa ya kawaida kwa vyuo vikuu duniani.
Mojawapo la kushangaza ni hili la kuendelea kuwa kimya na kuacha hali ya sintofahamu katika fikra za wadau wa chuo hicho. Hii...
Mmmhhh kweli hili nalo neno nami ngoja yangu ninene....eeh bhana hawa wana wa voda wana vioja kweli watufanya sie wana wa vichaa nimevumilia sana toka 2002 mpaka leo nmavoongea lakini sasa maji kwenye shingo yashanikaa sina budi kuhamia nami naridhia miaka kumi na moja ya mateso si haba naombeni...
Elewa mada kwanza kisha uchangie
Na ni vyema zaidi ukaelewa kwanza maana ya nyumba ndogo.
Kwa ufupi tu kuna tofauti kubwa sana kati ya nyumba ndogo na mke wa pili! Hebu tafakari hata hayo maneno mawili tu.....KIMADA a.k.a(mwizi) na MKEa .k.a (mwenye mali) Akishaitwa mke wa fulani ndugu yangu...
Sina uhakika kama we ni mZalendo wa kweli na kama kwwli unaguswa na upuuzi wa baadhi ya vyombo vyetu na hasa hivi vya umma....
Swala aliloliongelea mdau ni la kweli na linagusa si swala la kujifanya una majibu mengi ya mkato kwani ni lazima kuchangia mada!
Source: BBC
Wabunge wa Nigeria wapigana bungeni
18 Septemba 2013 10:18Wabunge wa bunge la waakilishi Nigeria wamerushiana ngumi wakati wa vikao vya Jumanne baada ya kuzuka bungeni suitofahamu kuhusu mrengo wa wabunge waliojitenga na chama tawala. Taarifa hizi ni kwa mujibu wa vyombo vya...
Vimehorodheshwa vigezo vinavyotumika kujua wananchi wa nchi fulani kama wanaishi kwa furaha ama la na hivyo ni vigezo sita vimebainishwa katika report hiyo ukisoma kwa makini nadhani utavielewa mkuu....usitegemee kuona ama kusikia kipimo hicho kikifanana na kile cha kupimia malaria ama...
Sijaona unashangaa nini mjomba kuhusu Ethiopia wananchi wake kuwa na furaha kisa wanafanya kazi za ndani uarabuni...kumbuka hilo ni jambo la kujipatia kipato tu na wala hawajakimbia nchini mwao kwamba labda hakuna amani la hasha ni kwasababu ya kutafuta ajira tu. Kama ingekuwa hivo basi...
New York, Marekani
Utafiti uliofanywa kubaini nchi zenye furaha duniani umeonyesha kwamba Watanzania ni watu wasio na furaha ikilingamishwa na nchi nyingi hata zilizo katika machafuko na vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa muda mrefu
Katika ripoti hiyo ya World Happiness Report 2013, Tanzania ni...
Ninaungana kabisa na wewe na pia nakumbuka maneno ya padre mmoja hv sitaki kumtaja jina katika tukio la bomu Arusha aliwahi kusema maneno hayo hayo kwamba...kuna uwezekano mkubwa sana kwamba matukio yote yanayotokea nchini juu ya kuwadhuru wakristo au makanisa haywahusu waislamu au uislamu kwa...
Ishu sio kutumia condom ukashangaa mimba....hapo ndo utapata ukweli kama uko peke yako au vp inawezekana we unajali lakini mwana mtandao mwenzako hajui hayo ye anakamua dry so hilo sio la kushangaza hapo umeingizwa town kaka subiria mtoto utapata jibu kamili...kika la kheri baba mtarajiwa NB...
Bila challenge huwezi kujifunza kwa mtu anayetaka kupata elimu lazima akubaliane na changamoto. Najifunza vyema kutokana na changamoto hizo na ndo maana najifunza. Na kwa hili la "naomba" tutaendelea kuwa watumwa na ombaomba milele" inaonyesha ni jinsi gani hatuko makini hata pale tunapojiweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.