Recent content by Mtanzania makini

  1. M

    Tanzania tumeingiliwa, kuna magaidi kutoka nje ya nchi

    Orodha mtu yoyote anaweza kutayarisha na kusema anayo, cha msingi ni huo ushahidi usio na wasi wasi ndiyo haujawahi tolewa unasemwa tu kwenye forums kama hizi, toeni ushahidi watanzania wauone ili waufanyie kazi. Tanzania ya leo si ile ya 1984 wala ya 1962. Hao uliowataja kuwa wanatumiwa wana...
  2. M

    Tanzania tumeingiliwa, kuna magaidi kutoka nje ya nchi

    Una ushahidi wa tuhuma hizi? ushahidi ambao unaweza kupelekwa mahakamani na siyo feelings au hear say
  3. M

    Hallo guys

    Karibu sana erasto, tumia muda kidogo kufahamu mazingira, halafu endelea
  4. M

    Hello!

    Karibu zaidi ya sana
  5. M

    Salamu wanaJF!

    Usijali, 'there is always a first time'
  6. M

    Mnikaribisheni

    Karibu sana Calvinali, jisikie nyumbani (black, Indian, white, coloured, .......) we all the same, karibu.
  7. M

    Am coming home.

    I hope you are 'born again'
  8. M

    Kwa mambo haya - JK ni Mdini!

    Kama wakristo wa Tanzania nao hawayaoni matatizo yaliyoelezwa kwenye post hiyo kama wewe, basi Tanzania tumekwisha. That's all I can also say.
  9. M

    Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

    Hivi kumbe hili ulilosema kwa rangi nyekundu mnalijua? mbona hamlipingi miaka yote hiyo ila mahakama ya kadhi na sensa ndiyo mnaona hela ya walipa kodi inatumika kuhudumia dini. Kuna nini nyuma ya pazia mpaka hili mnakubali tena kiulaini?
  10. M

    Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

    Hiyo ndiyo mojawapo ya tofauti kati ya waislamu na dini nyingine, kama huwezi kufanya research basi hata kufuatilia vyombo vya habari huwezi? nani kakwambia kuwa Somalia wanauana kupitia makadhi? au ndiyo ile ile tabia yenu ya kufikiri na kusema kiudini zaidi halafu hamjioni?
  11. M

    Punguzo gharama uunganishaji wa Umeme- Live From Bungeni

    Itasaidia kidogo, tatizo ni kwamba wana inflate cost kiasi kwamba wanaongeza uzito wa kupata huduma hii muhimu. Tshs 696,000 kwa nguzo mbili, zikiwa tatu, nne hatujui itakuwa kiasi gani, plus rushwa
  12. M

    Vigogo wagawana viwanja vya Gezaulole

    mwabakuki you've said it all, Godbless you
  13. M

    HATAKI nimguse, eti anaangalia Tamthilia.

    MwanajamiiOne kiasi nakubaliana na wewe kuwa akija mwandani wako na akifanya mambo yakiutu uzima basi attention yako itahamia kwake. Lakini wakati mwingine wanawake hamtabiriki just bila sababu ya msingi unakuwa mgumu tu, mikela kuwa mvumilivu maliza mwezi wa tano halafu muombe tena kama bado...
  14. M

    Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

    Point well said, naungana nawe mkono katika maneno niliyoweka rangi nyekundu. Wengi humu ndani wanadhani kutoa maneno ya kejeli na yanayoudhi ndiyo watabadili view point ya wengine kumbe si kweli. Kama upande mmoja unavyoona kwamba wao walifanya juhudi ndiyo maana wakafikia maendeleo waliyonayo...
Back
Top Bottom