Orodha mtu yoyote anaweza kutayarisha na kusema anayo, cha msingi ni huo ushahidi usio na wasi wasi ndiyo haujawahi tolewa unasemwa tu kwenye forums kama hizi, toeni ushahidi watanzania wauone ili waufanyie kazi. Tanzania ya leo si ile ya 1984 wala ya 1962.
Hao uliowataja kuwa wanatumiwa wana...
Hivi kumbe hili ulilosema kwa rangi nyekundu mnalijua? mbona hamlipingi miaka yote hiyo ila mahakama ya kadhi na sensa ndiyo mnaona hela ya walipa kodi inatumika kuhudumia dini. Kuna nini nyuma ya pazia mpaka hili mnakubali tena kiulaini?
Hiyo ndiyo mojawapo ya tofauti kati ya waislamu na dini nyingine, kama huwezi kufanya research basi hata kufuatilia vyombo vya habari huwezi? nani kakwambia kuwa Somalia wanauana kupitia makadhi? au ndiyo ile ile tabia yenu ya kufikiri na kusema kiudini zaidi halafu hamjioni?
Itasaidia kidogo, tatizo ni kwamba wana inflate cost kiasi kwamba wanaongeza uzito wa kupata huduma hii muhimu. Tshs 696,000 kwa nguzo mbili, zikiwa tatu, nne hatujui itakuwa kiasi gani, plus rushwa
MwanajamiiOne kiasi nakubaliana na wewe kuwa akija mwandani wako na akifanya mambo yakiutu uzima basi attention yako itahamia kwake. Lakini wakati mwingine wanawake hamtabiriki just bila sababu ya msingi unakuwa mgumu tu, mikela kuwa mvumilivu maliza mwezi wa tano halafu muombe tena kama bado...
Point well said, naungana nawe mkono katika maneno niliyoweka rangi nyekundu. Wengi humu ndani wanadhani kutoa maneno ya kejeli na yanayoudhi ndiyo watabadili view point ya wengine kumbe si kweli. Kama upande mmoja unavyoona kwamba wao walifanya juhudi ndiyo maana wakafikia maendeleo waliyonayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.