Uunganishaji Single face.
1 Bila nguzo 177,000 vijijin. 320,000 Mjini
2.Nguzo moja 337,000 Vijijini 515,000 Mjini
3.Nguzo mbili 454,000 Vijijini 696,000 Mijini
Effective from Jan 2013.
Uunganishaji Single face.
1 Bila nguzo 177,000 vijijin. 320,000 Mjini
2.Nguzo moja 337,000 Vijijini 515,000 Mjini
3.Nguzo mbili 454,000 Vijijini 696,000 Mijini
Effective from Jan 2013.
Ungesaidia sana kama ungeweka na bei za zamani kabla ya kushuka!Uunganishaji Single face.
1 Bila nguzo 177,000 vijijin. 320,000 Mjini
2.Nguzo moja 337,000 Vijijini 515,000 Mjini
3.Nguzo mbili 454,000 Vijijini 696,000 Mijini
Effective from Jan 2013.
Ungesaidia sana kama ungeweka na bei za zamani kabla ya kushuka!
Sisi wengine wake wetu hawajui bei za vitu kama hivi, inabidi umwambie kwa kumwonyesha maandishi.
Uunganishaji Single face.
1 Bila nguzo 177,000 vijijin. 320,000 Mjini
2.Nguzo moja 337,000 Vijijini 515,000 Mjini
3.Nguzo mbili 454,000 Vijijini 696,000 Mijini
Effective from Jan 2013.
Nimekaa Mafinga kwa muda flani, nguzo moja kuvuna mpaka kuiandaa na kuiuza kwa Tanesco haizidi laki moja. Na nguzo zipo tele hazina soko, sasa haya ma-order ya South Africa ni ya nini kama sio deals, wizara hiyo hiyo imeamua kukiuka sheria ya PPRA kwenye ununuzi wa mafuta kwa ajili ya kupunguza gharama kwa nini wasipige marufuku manunuzi ya kutoka nje kwenye nguzo hizi?Hivi kama nguzo zinatoka Iringa ama Mbeya na anayeomba yuko Iringa ama Mbeya, bei ya nguzo ni ilele sawa na aliyeko Musoma? Kwa mtazamo wa kibiashara bei ya nguzo haiwezi kufanana coz item ya usafiri inaathari ya moja kwa moja kwenye bei ya bidhaa.
Kuna tetesi kuwa nguzo zinatoka Afrika Kusini, ni deal wa watu! TANESCO, kaazi kweli kweli!
Uunganishaji Single face.
1 Bila nguzo 177,000 vijijin. 320,000 Mjini
2.Nguzo moja 337,000 Vijijini 515,000 Mjini
3.Nguzo mbili 454,000 Vijijini 696,000 Mijini
Effective from Jan 2013.
Uunganishaji Single face.
1 Bila nguzo 177,000 vijijin. 320,000 Mjini
2.Nguzo moja 337,000 Vijijini 515,000 Mjini
3.Nguzo mbili 454,000 Vijijini 696,000 Mijini
Effective from Jan 2013.