Kisha ndo itakuwaje?
MJ1 macho huwa yanafumba banaa na hata kama ataweza kuyafungua basi concentration ya kuangalia nini kinachoendelea katika mechi ya kwenye TV huwa ni sifuri.
Aksante Da Kaunga, umelidadavua haswa!Hapo ndipo utamu unapokolea BAK; LOL
Unajua ushauri wa MJ1 na King'asti hapo juu unahusu sana, anatakiwa awe mbunifu kiasi kwamba mama aone tamthilia ni nini mbele ya mahunjumati ya dadii; he must be so boring that mdada anaprefer tamthilia than intimacy na mumewe!
Chomoa cable ya TV apate giza au chenga, nini bwana HAKUIJIA HICHO....!!
huyo amekwisha pata ki serenget boy, bila shaka alikuona wewe spidi yako ni ya bata kitandani, akaamua achukue mwenye spidi ya mwewe
Na kama hapayi ALICHOIJIA, hata akichomoa cable, wife atapata interest nyingine.........ataanzasoma novel za Daniel Steel....Je atachomoa macho???!!
MwanajamiiOne kiasi nakubaliana na wewe kuwa akija mwandani wako na akifanya mambo yakiutu uzima basi attention yako itahamia kwake. Lakini wakati mwingine wanawake hamtabiriki just bila sababu ya msingi unakuwa mgumu tu, mikela kuwa mvumilivu maliza mwezi wa tano halafu muombe tena kama bado hataki basi kuna tatizo, sayansi ya mapenzi inasema mwanamke anaweza kuvumilia bila kupata kile kitu na bila kupata tabu kwa miezi minne (maximum) zaidi ya hapo na yeye anapata tabu. Kama bado atakuwa mgumu basi labda anapata sehemu nyingine, fanya uchunguzi.Aksante Da Kaunga, umelidadavua haswa!
Unless ni wale wa vululuu vululuu....anataka mkewe achojoe, atumbukize kisha akorome! Mie sipati picha eti naangalia Precious Passion kisha kaja mwandani, kagusa na kuchezea forbidden pearl bado nina nguvu ya kuresist?? Unless nimeichezea kabla!
Baby...............Ye kasema anaangalia mechi na hajasema anaconcentrate kwenye mpira (Of which kitakachofuata ni ...kama waconcetrate mtihani ni lini?0
Nilijua tu nitazodolewa lol! nilikosa neno banaa ..lakini ukweli ndio huo ukishakaa mbele ya luninga ili kuangalia mechi kati ya Manchester United na Manchester City basi hutaki bughudha ya aina yoyote hata ukiitiwa nanihii utajifanya kama husikii wala huelewi. Si unajua mambo haya wakati mwingine huonekana kama ni "bughudha" ingawaje kusema kweli haitakiwi kuwa hivyo, na hili tatizo si la Tanzania tu bali lipo katika nchi nyingi duniani.
Hahahah Shemeji kwani nanilii waitiwa??? akhaa.......... mwenyewe waitika aisee. Wadada wengi tunajisahau aisee..........we watizama Manchester Town sijui City, mamsap akija na gear ya kutengeneza channel hapo mwenyewe unamwita aisee..............siku hizi wadada wengi wanajua style na vivazi vya kurekebishia chennels ati!!