Nappe alijitekenya Adam nae alijitekenya
Narudia utawala huu sio ule mlio uzoea eti unajua mimi ni nani.
NAPPE
Hivi baada ya Mwakyembe kuteuliwa Nappe alipewa barua ya kufukuzwa kazi on the spot au lilitoka tamko kwamba Nappe sasa it's over?? Jibu ni hapana sasa kilichomtuma akimbilie kuitisha...
Watanzania mabingwa wa kulishwa matango pori, hivi inawezekanaje Jamani watu wawili kwenye gari iliyo na tinted nzito kama ile (kwa mtizamo wa macho kwenye picha) inakuwaje zipigwe risasi zaidi ya 25/30 halafu dereva hajapata hata kidonda, Yaani alichoambulia ni nguo za lissu zilizolowa damu...
Nilidhani bange zimetokomezwa kumbe we jamaa bado unatumia aisee acha ni hatari kwa afya ya ubongo wako ni ushauri tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rekebisha kauli mkuu sema, kauli au msimamo wa ;Muheshimiwa, Doctor na Amiri Jeshi Mkuu Mtukufu RAIS wa JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
UZENI SERA RAIS NI MMOJA LIMEPITA HILO MATAKO NI KAWAIDA YENU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.