Distinction
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 708
- 351
hahahahaha we jamaa knoma, kibelgiji?Ntombanoko bhebhe mleta uzi
hahahahaha we jamaa knoma, kibelgiji?Ntombanoko bhebhe mleta uzi
Mikwara ya le grande Olomide kwenye wimbo wake wa Loi (sheria)Nakobanga binu te
Nakobanga nzambe na ngai.....
Lol.... sawa
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Matondi Mingi.... lol unafaa sana mwalimuUlipashwa kusema Matondi Mingi- asante sana
waiting..usiku nitakuambia kwa ile sauti yangu hun nahis utaelewa zaid.
Just be patient and wait for me
am here for uwaiting..
Mbona haileti maana?Mbona siku hizi kutafsiri lugha ni rahisi tu jamani. Badala ya kulalama, si unaenda tu Google Translate. Angalia tafsri hii hapa kupitia Google Translate:
Hongera quadra kwa sadaka didi jiwe ina siku ya kuzaliwa chama cha anastahili jina lake, anastahili pongezi yake
Haha hahaaa, ng'hana gete gee
Tata babaAsante mkuu, umenipa mwanga kwenye haya:
Mokili mobimba
Tata na nzambe
Mwasi kitoko
Hiii lugha ipo poaaa san... Shusha kidgo mkuuMikwara ya le grande Olomide kwenye wimbo wake wa Loi (sheria)
Nakobanga binu te ( =simuogopi yeyote)
Nakobanga Nzambe na ngai=namuogopa Mungu wangu.
Kwenye lingala, te ni negative.