Msaada tafadhali: Basi bora la kwenda Mwanza kutoka DSM

MWananyati

Senior Member
Feb 3, 2011
160
53
Wadau, Salamuni.

Kama nilivyoainisha kwenye somo, ningependa kujua basi bora la kwenda Mwanza. Natokea Dar.
 
Mmh Zuberi! lazima alale shinyanga

Panda Kisbo au Kidia One
Hapana huwa lazima wafike ila saa saba ukipenda unalala pale pale nata mara zote huwa tunafika ila zuberi siti wamebana sna kama mrefu kuna ka adhabu kidogo dar lux kwa sasa wako poa ila ndio ka buku tano huongezeka
 
Hapana huwa lazima wafike ila saa saba ukipenda unalala pale pale nata mara zote huwa tunafika ila zuberi siti wamebana sna kama mrefu kuna ka adhabu kidogo dar lux kwa sasa wako poa ila ndio ka buku tano huongezeka
Mie nilisafiri na kibo kama three weeks basi lilikuwa poa sana, hatukuachana sana kufika na Dar Lux na Kisbo
 
Mie nilisafiri na kibo kama three weeks basi lilikuwa poa sana, hatukuachana sana kufika na Dar Lux na Kisbo
Sijawahi kutumia kibo mara nyingi natumia kisesa zuberi dar lux japo kisesa kwa sasa naona kama hawapo nitaliangalia na hilo siku moja by the way kuna ka offer ka fast jet kama una safari ya december unaweza kuwacheki
 
tanzania_buses-20170927-0001.jpg
 
Kuna offer ya ndege kwa 79,000 nadhani. Badilisha aina ya usafiri ili ujifunze kitu kipya. Dar Lux wana huduma nzuri sana. Wako Shekilango na ukienda Ubungo stand wapiga debe watakwambia wamejaza, kumbe bado!!!

Nenda ofisini kwao pale Ubungo mataa kituo cha mafuta au Shekilango

Bon voyage mkuu
 
Back
Top Bottom