Kuna ndugu yangu katika ukoo lakini huwa hatuwasiliani,cha ajabu akaomba nimkopeshe kadhaa,huyu ndugu ni teacher nikaampa kwa makubaliano ya kuwa atarudisha baada ya wiki moja now ni miezi 2 na zaid kimya no update.Lakin nilishajiandaa kisaikolojia simdai wala nini najua atarudi tena tu kuz kazi...
Kanisa katoliki sio la wahaya,mfipa,mluguru wala mchaga,yeyote mwenye sifa anapata kinachostahili.ukitaka vyeo vigaiwe kwa wahaya wenzako tu nenda huko kabale konkama kafungue kanisa lako uwape vyeo nshomile wenzako unaotaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.