Polycarp Kardinali Pengo atajiuzulu dakika yoyote kuanzia kesho

Mkuu,
TYK

Nilipoleta mada hii niliweka kabisa na kifungu cha sheria atakachotumia Kardinali Pengo kujiuzulu na wala siyo kustaafu kama wanavyovumisha wengi.

Hivyo, mtu akishakuletea kifungu hakuna tena suala la kusema hujui sheria na tunavileta vifungu ili na wenye akili waweze kujua hatubahtishi.

Usikumbwe na wimbi la umbumbumbu wa Paschal Mayala aliyevuka kiwango cha umbumbumbu.
Yaani katika yote, Poti Paskali kaniangusha sana. Wewe ulinyoosha wengine sheria holaaa.
 
Mkuu,

Siku naleta hii mada siku 11 zilizopita au masaa 264 (24hrs x 11=264) yaliyopita nilipata LIKE kutoka kwa Maxence Melo.

Ukipata LIKE kwa Maxence Melo maana yake umeijenga Jamii Forum to its desired credit.

Sikubahatisha, nilijua ninachokisema.

Keep up Jamii Forum.

Katika hii mada sio Paschal Matubi wala Pascal Mayalla ameshinda ila Jamii forum imeshinda. Siku members wa JF wakikubaliana kila kitu bila kuwa hoja kinzani huo ndio utakuwa mwisho wake

Hongera kwa Jamii Forum.

Ahsante
 
Kwa kuanzia, kwa heshima na taadhima, Mkuu Paschal Matubi. kwanza wewe ni kilaza tuu kwenye sheria za kanisa, acha uongo na upotoshaji kwa chuki zako kwa Kardinali Pengo, hivyo utataka kulazimisha ajiuzulu kwa kutuletea vifungu vya sheria, vilivyopitwa na wakati.

Askofu atajiuzulu kwa hiari akishafikisha umri wa miaka 75, sasa unataka kuulazimisha uhiari kugeuka lazima?. Askofu wa Katoliki anastaafu kwa lazima akifikisha miaka 80 na sio 75!.

Issue ya Pengo iko hivi,
Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) lilipotoa ujumbe wa Kwaresima 2018, siku 34 baadaye, yaani Machi 25, 2018, Polycarp Kardinali Pengo, askofu mkuu wa Dar es Salaam, aliupinga. Taarifa zikaenda Vatican kuwa ni kweli Serikali ya Tanzania ina madudu yake, Maaskofu wametoa Waraka wa Kiaskofu, Askofu mmoja tuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, akaupinga!, hivyo ikaamuliwa Pengo aondolewe silently kwa Baba Mtakatifu kumteua Askofu Jude Thadaeus Ruwa’ichi kuwa Askofu Mkuu Mwandamizi (“Co-adjutor Bishop”) hivyo Karninali Pengo kukasimu madaraka fulani, kukaa pembeni kusubiria umri wa kustaafu.

Vifungu.
Kifungu cha 1121 cha Katekismo ya Kanisa Katoliki kinasema Mkatoliki akishapata ubatizo, kipaimara, ushemasi, upadri au uaskofu inakuwa moja kwa moja, havifutiki na ni majukumu ya kudumu. Hivyo, mtu hawezi kustaafu majukumu hayo ya kudumu. Kifo tu ndicho humstaafisha ila akithibitika ameishiwa uwezo, ndipo hustaafu kabla ya umri wa miaka 80, Carnali Pengo ni issue za afya tuu na sio uwezo yaani kuwa “incapacitatem”.

Umri wa kustaafu
Kikawaida kuna watu wanadhani kwamba “Askofu wa Jimbo” akikaribia umri wa miaka 75 analetewa “Askofu Mwandamizi”. Hii si kweli. Pengo ameletewa Askofu Mwandamizi ili kumuweka pembeni kiaina.

Sheria ya John Paul II
Hata hivyo, Januari 24, 2004, Papa John Paul II aliidhinisha sheria iwaongoza Maaskofu. Kanuni ya 72 ya sheria hii (Apostolorum Successores), sentensi ya kwanza inasema, “Pale hali inapolazimu Papa anaweza kuteua “Askofu Mwandamizi”, kwa Tanzania mambo ya Pengo kuwa dam dam na Magufuli, hali imelazimu!.

Madaraka ya mwandamizi

Je, ni kweli Askofu Mwandamizi ni mdhibiti wa Askofu wa Jimbo? Sentensi ya tatu ya kanuni ya 72 ya sheria Apostolorum Successores inamzuia “Askofu wa Jimbo” kufanya mambo yasiyoruhusiwa kufanywa na “Askofu Mwandamizi”.

Hata Papa John Paul II asingetunga sheria hii, tumeona Askofu Mwandamizi huletwa iwapo kizuizi kimeshamtinga au kimekaribia kumtinga Askofu Wa Jimbo.

Utii kwa “Askofu Mwandamizi”

Je, mapadri, masista, waumini wanapaswa kumtii nani katika jimbo lenye “Askofu Mwandamizi?” Kwanza naamini “sede impedita” imeeleweka. Pili, mapadri waliapa kutii “waandamizi” tangu siku ya upadrisho.

Tatu, tumeona kanuni ya 72 ya “Apostolorum Successores” inavyomgeuza “askofu wa jimbo” kuwa mtiifu wa anayoyataka “Askofu Mwandamizi”.

Nne, barua ya Papa Francis kwa Jude Thadaeus imeagiza kila mtu kuwa mtiifu kwa Askofu Jude Thadaeus.

“Tunakuagiza kuwajulisha barua hii wakheri na watu wote wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Hao wote ni wana wapenzi tunawahimiza, wakupokee na kukuheshimu, wakiungana nawe katika umoja.”

Matatizo ya uaskofu mwandamizi

Uaskofu mwandamizi pia una matatizo, mzoefu nchini ni Tarcisius Ngalalekumtwa aliyeutumikia kwa miaka minne bila kurithi jimbo.

Alipofariki Laurean Kardinali Rugambwa Askofu Pengo alinukuliwa akisema: “Uvumi kwamba nimekataa kumzika Dar es Salaam si kweli, kama niliweza kuishi naye akiwa hai, ningeshindwaje kuishi naye akiwa kaburini?” (Tanzania Daima Oktoba 07, 2012)

Kwa mtririko huo endapo Pasaka 2018 ingemkuta Jude Ruwa’ichi akiwa Askofu Mwandamizi Dar basi, “Askofu wa Jimbo” asingeupinga waraka wa Kwaresima.

Hii ni kutokana na kanuni ya 72 ya “Apostolorum Successores” ambayo ingemzuia Askofu wa Jimbo Kupinga waraka bila ruhusa ya Askofu Mwandamizi anayeupenda waraka.

Tatizo askofu msaidizi ni chaguo la askofu wa jimbo, hivyo ombi lilipokataliwa tuliepusha uwezekano wa askofu kupandikiza mtu wake kurithi jimbo.
Chanzo ni makala: Askofu Ruwa’ichi ana mamlaka makubwa kuliko Kardinali Pengo
My Take
Ni kweli na kwa kawaida, mwaka au miezi 6 kabla ya kutimiza umri wa miaka 75 wa kuataafu kwa hiari, Vatican ikikuteulia Askofu Mwandamizi, ni unatumiwa ujumbe kujitayarisha kwa uhiyari yako. Askofu mteule anayechukua nafasi yake, ameishateuliwa ambaye ni Ruwaichi, tangu uteuzi ule, Pengo anakuwa amekabidhi ofisi na mambo yote muhimu anafanya kwa kushirikiana Ruwaichi, ili kutengeneza a smooth transition. Kinachosubiriwa ni tangazo la Pope kumteua Askofu Ruwaichi kuwa Kardinali na kukubali kustaafu kwa Pengo na kumthibitisha Askofu Yuda Thadei Ruwaichi kama Muadhama Yuda Thadei, Kardinali Ruwaichi.

Mimi nimepata bahati ya kuhudumu kanisa Katoliki la St. Peters, (kanisa la Kardinali) chini ya
Muadhama Lauriani, Kardinali Rugambwa ndipo nilipata sherehe yangu ya kwanza
na ndipo nilipobatizwa, nikapata kumunio na Kipaimara.

Wakati wa Muadhama Policarp Kardinali Pengo ndipo nilipofanya ile sherehe yangu ya pili kwa Sacramenti ya Ndoa hapohapo St. Peters, napia katika maisha yangu, nimepata kutembelea St Peter Kuu pale Basilica. Hivyo kwa mapenzi ya Mungu, iwapo atatoa kibali, na ile sherehe yangu ya tatu itakapotimu ule muda nilioandikiwa, I wish iwe ni St. Peters.
P
Pascal mayala yupi ni kilaza kati yako na pascal matubi
 
Mbona kadinali Rugambwa hakujiuzulu?Rugambwa alikufa akiwa.na 80+au mie sina kumbukumbu?
Siyo kuwa anajiuzulu bali anastaafu; kuanzaia miak 75 askofu anaweza kustaafu, siyo kwamba akiwa na miaka 75 lazima astaafu. Sheria hiyo jamaa aliyokpi haimlazimishi bali inamwomba Asakofu kustaafu. Kardinali Rugambwa alistaafu mwaka 1992 akiwa na miaka 80.

Maneno resign na retire yanaweza kuwa yanatumiwa vibaya hapa kama ambavyo tunasikia Lowasa akiitwa waziri mkuu mstaafu huku ali-resign.
 
Usifananishe kanisa katoliki na idea zilizo vichwani mwenu na taasisi mnazofanyia kazi au mnazozisikia na kutokana na uvivu wenu wa kusoma.

Tangu kanisa limeumbwa hakuna sentensi hata moja ya utaratibu wa kanisa unasema kuna terminology ya kustaafu.

Kanisa Katolili halina kitu kiitwacho kustaafu na ndiyo maana Pengo hataitwa Retired Archbishop bali ataitwa "Archbishop Emeritus of D'Salaam".

Siyo kuwa anajiuzulu bali anastaafu; kuanzaia miak 75 askofu anaweza kustaafu, siyo kwamba akiwa na miaka 75 lazima astaafu. Sheria hiyo jamaa aliyokpi haimlazimishi bali inamwomba Asakofu kustaafu. Kardinali Rugambwa alistaafu mwaka 1992 akiwa na miaka 80.

Maneno resign na retire yanaweza kuwa yanatumiwa vibaya hapa kama ambavyo tunasikia Lowasa akiitwa waziri mkuu mstaafu huku ali-resign.
 
Usifananishe kanisa katoliki na idea zilizo vichwani mwenu na taasisi mnazofanyia kazi au mnazozisikia na kutokana na uvivu wenu wa kusoma.

Tangu kanisa limeumbwa hakuna sentensi hata moja ya utaratibu wa kanisa unasema kuna terminology ya kustaafu.

Kanisa Katolili halina kitu kiitwacho kustaafu na ndiyo maana Pengo hataitwa Retired Archbishop bali ataitwa "Archbishop Emeritus of D'Salaam".
Maneno unayotumia yanaonyesha upungufu mkubwa sana wa busara na huenda hujui unalozungumza badala yake unakopi maneno tu na kuyaweka kwa jazba. Sasa sikiliza, usidhani kuwa wewe ndiyo unayejua ukatoliki pekee mimi pia ni mkatoliki kamili na nilipewa kipaimara na Askofu Renatus Butibubage mwaka 1972; nimebaki muumini sana wa kanisa la katoliki na mpaka sasa ninaishi na kutembelewa na mapadiri wengi sana kwenye familia yangu. Kazi yangu ni profesa wa chuo kikuu, huenda mimi ni msomi sana kuliko wewe na ninajua kusoma sana kuliko wewe unayedhani watu wengine ni wavivu wa kusoma. Nimeandika vitabu na makala nyingi zinazotumiwa na wataalamu wenzangu duniani. Chuoni kwetu tunao Emeritus Professor wengi sana, na hata mimi nitakuwa Emeritus baada ya miaka michache ijayo. Emeritus Profesor wanapewa ofisi, wanaruhusiwa kutumia Library na hata laboratories, lakini hawapewi majukumu ya kiutawala kama vile kuwa wajumbe wa kamati mbalimbali.

Sasa kama hujui maana ya neno Emeritus, basi maana yake ni Retired person, siyo title maalumu ya ukatoliki tu. Ni representation moja ya retired, ni kama jeshini hawatumii title ya deputy lakini wanatumia 2nd in command ambayo yote yana maana ile ile.

1565903555389.png
 
Kichuguu,

Nakufahamu vizuri na ninajua hata jina lako ingawa sitaki kukutaja hapa kwa kukuhifadhi. Ninajua umefundisha pale UDSM Faculty of Engineering (FoE) pamoja na marehemu Dr. Nzali, Prof. Mvungi, Chambega, Dr. Yonnah, Prof. Mgombelo, Dr. Manyahi, Dr. Kisaka, Dr. Chamuriho, Prof. Materu, Pro. Luhanga, Dr. Nyichomba, Prof. Masuha.

Hauna tofauti na Pascal Mayala ambaye yeye justification yake nikwamba amebatizwa St. Peter.

Kama hujui Catechism au Canon Laws zinasemaje utaishia kupiga porojo mnazoshirikiana kupiga humu na kudanganya.

Ninakujua kuwa wewe ni mkatoliki. Kasome kanisa lako linasemaje na siyo kuibuka nadhana zako.

Ni kweli umeandika sana mnachokiita publications lakini haujaandika chochote au kokote kuhusu Catholic church.

Hivyo, kuhusu Catholic church wewe ni mweupe na ndilo tatizo la wasomi wengi duniani ukiwemo wewe. Wasomi wa dunia hii huwa ni wagumu kukubali kwamba hawajui kitu nje ya profession yao. Wanadhani they can debate on every aspect.

Kanisa Katoliki huwa linawaumbua maana hawalisomi na wanaishia kufananisha na ndiko kuumbuka.

Nimesema kitu rahisi sana. Hakuna sehemu au sentensi yoyote ya kanisa inayosema kuna kustaafu bali kuna kujiuzulu na ukishajiuzulu unaitwa Emeritus.

Nimetaja neno Emeritus nikijua wewe unawajua Emeritus professors na ni kweli hata wewe utakuwa Emeritus profesor.

Sheria ya kanisa inasema ifuatavyo,

Can. 402 §1:
A Bishop whose resignation from office has been accepted, acquires the title ‘emeritus’ of his diocese. If he so wishes, he may have a residence in the diocese unless, because of special circumstances in certain cases, the Apostolic See provides otherwise.

Sasa ukishafundishwa kuwepo vifungu hivi ambavyo huvijui, jikite huko na usilete dhana zako za kufikirika.

Kazi yangu ni kukufundisha vifungu vilipo na nitaendelea kukufundisha.

Maneno unayotumia yanaonyesha upungufu mkubwa sana wa busara na huenda hujui unalozungumza badala yake unakopi maneno tu na kuyaweka kwa jazba. Sasa sikiliza, usidhani kuwa wewe ndiyo unayejua ukatoliki pekee mimi pia ni mkatoliki kamili na nilipewa kipaimara na Askofu Renatus Butibubage mwaka 1972; nimebaki muumini sana wa kanisa la katoliki na mpaka sasa ninaishi na kutembelewa na mapadiri wengi sana kwenye familia yangu. Kazi yangu ni profesa wa chuo kikuu, huenda mimi ni msomi sana kuliko wewe na ninajua kusoma sana kuliko wewe unayedhani watu wengine ni wavivu wa kusoma. Nimeandika vitabu na makala nyingi zinazotumiwa na wataalamu wenzangu duniani. Chuoni kwetu tunao Emeritus Professor wengi sana, na hata mimi nitakuwa Emeritus baada ya miaka michache ijayo. Emeritus Profesor wanapewa ofisi, wanaruhusiwa kutumia Library na hata laboratories, lakini hawapewi majukumu ya kiutawala kama vile kuwa wajumbe wa kamati mbalimbali.

Sasa kama hujui maana ya neno Emeritus, basi maana yake ni Retired person, siyo title maalumu ya ukatoliki tu. Tie reprsentation moja ya retired, ni kama jeshini hawatumii title ya deputy lakini wanatumia 2nd in command ambayo yote yana maana ile ile.

View attachment 1182437

Cc:

Pascal Mayalla
 
"Endapo Papa 'atampandisha' Ruwaichi kuwa Kardinali basi tutakuwa na makardinali wawili".

Kwahiyo Pengo ni mkubwa(cheo)kuliko Ruwaichi?

Mayala..Ruwaichi atathibitishwa kuwa Askofu Mkuu wa Jimbo la Dar es Salaam kwanza. Tutasubiria kuona Papa akitangaza makardinali wapya kama Ruwaichi atakuwemo. Kwa muda tutakuwa na Pengo kama kardinali pekee Tanzania. Endapo Papa atampandisha Ruwaichi kuwa Kardinali basi tutakuwa na makardinali wawili.
 
Kwa kuanzia, kwa heshima na taadhima, Mkuu Paschal Matubi. kwanza wewe ni kilaza tuu kwenye sheria za kanisa, acha uongo na upotoshaji kwa chuki zako kwa Kardinali Pengo, hivyo utataka kulazimisha ajiuzulu kwa kutuletea vifungu vya sheria, vilivyopitwa na wakati.

Askofu atajiuzulu kwa hiari akishafikisha umri wa miaka 75, sasa unataka kuulazimisha uhiari kugeuka lazima?. Askofu wa Katoliki anastaafu kwa lazima akifikisha miaka 80 na sio 75!.

Issue ya Pengo iko hivi,
Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) lilipotoa ujumbe wa Kwaresima 2018, siku 34 baadaye, yaani Machi 25, 2018, Polycarp Kardinali Pengo, askofu mkuu wa Dar es Salaam, aliupinga. Taarifa zikaenda Vatican kuwa ni kweli Serikali ya Tanzania ina madudu yake, Maaskofu wametoa Waraka wa Kiaskofu, Askofu mmoja tuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, akaupinga!, hivyo ikaamuliwa Pengo aondolewe silently kwa Baba Mtakatifu kumteua Askofu Jude Thadaeus Ruwa’ichi kuwa Askofu Mkuu Mwandamizi (“Co-adjutor Bishop”) hivyo Karninali Pengo kukasimu madaraka fulani, kukaa pembeni kusubiria umri wa kustaafu.

Vifungu.
Kifungu cha 1121 cha Katekismo ya Kanisa Katoliki kinasema Mkatoliki akishapata ubatizo, kipaimara, ushemasi, upadri au uaskofu inakuwa moja kwa moja, havifutiki na ni majukumu ya kudumu. Hivyo, mtu hawezi kustaafu majukumu hayo ya kudumu. Kifo tu ndicho humstaafisha ila akithibitika ameishiwa uwezo, ndipo hustaafu kabla ya umri wa miaka 80, Carnali Pengo ni issue za afya tuu na sio uwezo yaani kuwa “incapacitatem”.

Umri wa kustaafu
Kikawaida kuna watu wanadhani kwamba “Askofu wa Jimbo” akikaribia umri wa miaka 75 analetewa “Askofu Mwandamizi”. Hii si kweli. Pengo ameletewa Askofu Mwandamizi ili kumuweka pembeni kiaina.

Sheria ya John Paul II
Hata hivyo, Januari 24, 2004, Papa John Paul II aliidhinisha sheria iwaongoza Maaskofu. Kanuni ya 72 ya sheria hii (Apostolorum Successores), sentensi ya kwanza inasema, “Pale hali inapolazimu Papa anaweza kuteua “Askofu Mwandamizi”, kwa Tanzania mambo ya Pengo kuwa dam dam na Magufuli, hali imelazimu!.

Madaraka ya mwandamizi

Je, ni kweli Askofu Mwandamizi ni mdhibiti wa Askofu wa Jimbo? Sentensi ya tatu ya kanuni ya 72 ya sheria Apostolorum Successores inamzuia “Askofu wa Jimbo” kufanya mambo yasiyoruhusiwa kufanywa na “Askofu Mwandamizi”.

Hata Papa John Paul II asingetunga sheria hii, tumeona Askofu Mwandamizi huletwa iwapo kizuizi kimeshamtinga au kimekaribia kumtinga Askofu Wa Jimbo.

Utii kwa “Askofu Mwandamizi”

Je, mapadri, masista, waumini wanapaswa kumtii nani katika jimbo lenye “Askofu Mwandamizi?” Kwanza naamini “sede impedita” imeeleweka. Pili, mapadri waliapa kutii “waandamizi” tangu siku ya upadrisho.

Tatu, tumeona kanuni ya 72 ya “Apostolorum Successores” inavyomgeuza “askofu wa jimbo” kuwa mtiifu wa anayoyataka “Askofu Mwandamizi”.

Nne, barua ya Papa Francis kwa Jude Thadaeus imeagiza kila mtu kuwa mtiifu kwa Askofu Jude Thadaeus.

“Tunakuagiza kuwajulisha barua hii wakheri na watu wote wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Hao wote ni wana wapenzi tunawahimiza, wakupokee na kukuheshimu, wakiungana nawe katika umoja.”

Matatizo ya uaskofu mwandamizi

Uaskofu mwandamizi pia una matatizo, mzoefu nchini ni Tarcisius Ngalalekumtwa aliyeutumikia kwa miaka minne bila kurithi jimbo.

Alipofariki Laurean Kardinali Rugambwa Askofu Pengo alinukuliwa akisema: “Uvumi kwamba nimekataa kumzika Dar es Salaam si kweli, kama niliweza kuishi naye akiwa hai, ningeshindwaje kuishi naye akiwa kaburini?” (Tanzania Daima Oktoba 07, 2012)

Kwa mtririko huo endapo Pasaka 2018 ingemkuta Jude Ruwa’ichi akiwa Askofu Mwandamizi Dar basi, “Askofu wa Jimbo” asingeupinga waraka wa Kwaresima.

Hii ni kutokana na kanuni ya 72 ya “Apostolorum Successores” ambayo ingemzuia Askofu wa Jimbo Kupinga waraka bila ruhusa ya Askofu Mwandamizi anayeupenda waraka.

Tatizo askofu msaidizi ni chaguo la askofu wa jimbo, hivyo ombi lilipokataliwa tuliepusha uwezekano wa askofu kupandikiza mtu wake kurithi jimbo.
Chanzo ni makala: Askofu Ruwa’ichi ana mamlaka makubwa kuliko Kardinali Pengo
My Take
Ni kweli na kwa kawaida, mwaka au miezi 6 kabla ya kutimiza umri wa miaka 75 wa kuataafu kwa hiari, Vatican ikikuteulia Askofu Mwandamizi, ni unatumiwa ujumbe kujitayarisha kwa uhiyari yako. Askofu mteule anayechukua nafasi yake, ameishateuliwa ambaye ni Ruwaichi, tangu uteuzi ule, Pengo anakuwa amekabidhi ofisi na mambo yote muhimu anafanya kwa kushirikiana Ruwaichi, ili kutengeneza a smooth transition. Kinachosubiriwa ni tangazo la Pope kumteua Askofu Ruwaichi kuwa Kardinali na kukubali kustaafu kwa Pengo na kumthibitisha Askofu Yuda Thadei Ruwaichi kama Muadhama Yuda Thadei, Kardinali Ruwaichi.

Mimi nimepata bahati ya kuhudumu kanisa Katoliki la St. Peters, (kanisa la Kardinali) chini ya
Muadhama Lauriani, Kardinali Rugambwa ndipo nilipata sherehe yangu ya kwanza
na ndipo nilipobatizwa, nikapata kumunio na Kipaimara.

Wakati wa Muadhama Policarp Kardinali Pengo ndipo nilipofanya ile sherehe yangu ya pili kwa Sacramenti ya Ndoa hapohapo St. Peters, napia katika maisha yangu, nimepata kutembelea St Peter Kuu pale Basilica. Hivyo kwa mapenzi ya Mungu, iwapo atatoa kibali, na ile sherehe yangu ya tatu itakapotimu ule muda nilioandikiwa, I wish iwe ni St. Peters.
P
Hapo kwenye ukardinali umechemka askofu mkuu siyo lazima awe ndo kardinali, kardinali ni msaidizi wa baba mtakatifu papa, kardinali anaweza kuwa yeyote kati ya askofu, padre au shemasi.
 
Sheria ya kanisa inasema ifuatavyo,

Can. 402 §1:
A Bishop whose resignation from office has been accepted, acquires the title ‘emeritus’ of his diocese. If he so wishes, he may have a residence in the diocese unless, because of special circumstances in certain cases, the Apostolic See provides otherwise.

Sasa ukishafundishwa kuwepo vifungu hivi ambavyo huvijui, jikite huko na usilete dhana zako za kufikirika.

Kazi yangu ni kukufundisha vifungu vilipo na nitaendelea kukufundisha.
Cc:
Pascal Mayalla
Mkuu wajina, Yesu angelikuwepo wewe ungelikuwa mbishi kuliko Tomaso, hata hivyo nakushukuru kwa kumheshimu Mkuu Kichuguu hukumuita mbumbumbu kama ulivyoniita mimi, yeye umemuita mweupe, kiukweli wajina kwanza nakushukuru kuendelea kutufundisha sheria za kanisa, ila kiukweli wewe ni kilaza, naomba nisikute mbumbumbu ili kukuheshimu kwa sababu hata kilaza anastahili heshima.

Pia una tatizo kubwa la kudogosha watu, kauli hii
"

Hivyo, kuhusu Catholic church wewe ni mweupe na ndilo tatizo la wasomi wengi duniani ukiwemo wewe. Wasomi wa dunia hii huwa ni wagumu kukubali kwamba hawajui kitu nje ya profession yao. Wanadhani they can debate on every aspect" ni kumdogosha Mkuu Kichuguu, mtu akiishakuwa Prof wa Chuo Kikuu, huyo ni msomi wa kuaminika na kuheshimika hivyo ni an authority of his own kind sio lazima hadi aandike kuhusu Ukatoliki.

Psychoanalysis ya graphology ya maandishi yako yanaonyesha una psychological inferiority complex kutokana na kuwa failure seminari, ulitaka kuwa padri ukafeli, sasa to make it up na hiyo deep rooted neurosis ya kufeli kwako unajikweza humu wewe ndio bingwa wa canon laws wakati kiukweli ni kilaza tuu, kama umeshindwa kutofautisha umri wa kustaafu kwa hiari na kwa lazima, ni ukilaza tuu. Mimi umenidosha kuniita mbumbumbu, Pengo umemdogosha, huyu Prof unamdogosha, sisi tuliopitia Graphology tuneng'amua una tatizo, pole.

Nadhiri ya sacrament ya upadirisho ni for life unless uvuliwe, hivyo Askofu anastaafu, hilo neno resignation ndiko kustaafu kwenyewe au kujiuzulu lakini anaendelea na utumishi wa Mungu hadi pale Mungu atakapomuita. Likitokea la kutokea kwa Papa, anayekwenda Vatican kupiga kura ni Pengo japo ni mstaafu na ataendelea kupiga kura hadi atimize umri wa miaka 80.

Kwenye bandiko hili, japo ni kweli Muadhama Polycarp, Cardinal Pengo amestaafu kama ulivyo bashiri humu, hoja yako ya kustaafu kwa lazima at 75 years sii kweli, Askofu anastaafu kwa lazima at 80 years, hivyo Pengo amestaafu kwa hiari kufuatia changamoto za afya yake na sio amestaafu kwa lazima kwa sababu ametinga 75!.

P.
 
Mkuu wajina, Yesu angelikuwepo wewe ungelikuwa mbishi kuliko Tomaso, hata hivyo nakushukuru kwa kumheshimu Mkuu Kichuguu hukumuita mbumbumbu kama ulivyoniita mimi, yeye umemuita mweupe, kiukweli wajina kwanza nakushukuru kuendelea kutufundisha sheria za kanisa, ila kiukweli wewe ni kilaza, naomba nisikute mbumbumbu ili kukuheshimu kwa sababu hata kilaza anastahili heshima.

Pia una tatizo kubwa la kudogosha watu, kauli hii
"

Hivyo, kuhusu Catholic church wewe ni mweupe na ndilo tatizo la wasomi wengi duniani ukiwemo wewe. Wasomi wa dunia hii huwa ni wagumu kukubali kwamba hawajui kitu nje ya profession yao. Wanadhani they can debate on every aspect" ni kumdogosha Mkuu Kichuguu, mtu akiishakuwa Prof wa Chuo Kikuu, huyo ni msomi wa kuaminika na kuheshimika hivyo ni an authority of his own kind sio lazima hadi aandike kuhusu Ukatoliki.

Psychoanalysis ya graphology ya maandishi yako yanaonyesha una psychological inferiority complex kutokana na kuwa failure seminari, ulitaka kuwa padri ukafeli, sasa to make it up na hiyo deep rooted neurosis ya kufeli kwako unajikweza humu wewe ndio bingwa wa canon laws wakati kiukweli ni kilaza tuu, kama umeshindwa kutofautisha umri wa kustaafu kwa hiari na kwa lazima, ni ukilaza tuu. Mimi umenidosha kuniita mbumbumbu, Pengo umemdogosha, huyu Prof unamdogosha, sisi tuliopitia Graphology tuneng'amua una tatizo, pole.

Nadhiri ya sacrament ya upadirisho ni for life unless uvuliwe, hivyo Askofu anastaafu, hilo neno resignation ndiko kustaafu kwenyewe au kujiuzulu lakini anaendelea na utumishi wa Mungu hadi pale Mungu atakapomuita. Likitokea la kutokea kwa Papa, anayekwenda Vatican kupiga kura ni Pengo japo ni mstaafu na ataendelea kupiga kura hadi atimize umri wa miaka 80.

Kwenye bandiko hili, japo ni kweli Muadhama Polycarp, Cardinal Pengo amestaafu kama ulivyo bashiri humu, hoja yako ya kustaafu kwa lazima at 75 years sii kweli, Askofu anastaafu kwa lazima at 80 years, hivyo Pengo amestaafu kwa hiari kufuatia changamoto za afya yake na sio amestaafu kwa lazima kwa sababu ametinga 75!.

P.
Dr Kitima kaandika Pengo amekubaliwa kustaafu, kilaza mwingine anasema katoliki hakuna kustaafu, sijui tumwamini nani!
 
Sasa kama hujui maana ya neno Emeritus, basi maana yake ni Retired person, siyo title maalumu ya ukatoliki tu. Tie reprsentation moja ya retired, ni kama jeshini hawatumii title ya deputy lakini wanatumia 2nd in command ambayo yote yana maana ile ile.

View attachment 1182437
Mkuu Prof, asante kwa elimu hii, vilaza wanaosoma tuu maandiko bila uwezo wa kutafsiri wanashida sana. I feel very proud kumbe tuna maprofesa wa ukweli humu jf halafu hawa vilaza humu wanaleta ujuaji kisa wamesoma seminari, kumbe hawajui kitu si lolote sii chochote.
P
 
Back
Top Bottom