Ni upuuzi tuu. kinacholengwa hapo ni usafiri wa bajaji na daladala na taksi. zaidi ya hapo sijaona biashara nyingine inayoathirika.
Mimi nikisafiri ninapofika mbezi hata ukinishusha hakuna nitakachonunua zaidi sana labda maji.. ambayo ni nadra sana kwa sababu nia nzima ninakuwa nimeshahudumiwa...
Mwanamke yeyote ninayekutana naye nje ya ndoa yangu huwa nimeshajiwekea sheria. Kama amenikubali huku akijua nina familia basi atamkubalia mwanaume mwingine kama alivyonikubali. kwa hiyo ni ujinga kudhani kuwa uko peke yake.
Kampuni ya mabasi ya Al-Saedy yanayofanya safari zake Dar-Iringa wanafanya uhuni na dharau kwa abiria bila kufikiri madhara yake.
Abiria wanakatiwa tiketi gari ya saa moja na nusu, mnafika stend ratiba inabadilishwa mnaondoka saa tatu.
Nyingine ratiba inaonyesha kuondoka saa tatu, wao wanaondoka...
,
Hii story kama siielewi vile.
Mimi mwanamke akiondoka kaenda kwao na bila sababu harudi, wala simfuati. Nasajili timu mpya tena kali mbichiiiii.
Siwezi kulilia mapenzi kw amtu asiyenipenda.
Nahitaji kulima ekari tatu (3) za mahindi msimu huu ambao mvua zinaanza hususani kwa Nyanda za Juu Kusini.
Ila nina muda kidogo tangu nilime zao hili kwa hiyo kuna mambo nataka kujikumbusha naomba mnisaidie najua huku kuna wajuzi wa mambo haya.
- Bei ya mbegu za mahindi kwa kilo
- Nitahitaji...
Sikiliza, wewe kuwa mpole haimaanishi ukikutana na simba atakuhurumia.
Hii ni kanuni muhimu katika ulimwengu huu wa ubepari.
Kama wewe hupigi dili usidhani kwa kutokupiga kwako dili ndo utahurumiwa.
Tembea kifua mbere
Huwezi kuamini, amempora dada yake tonge mdomoni dakika ya mwisho kabisa.
Nilipata kufahamiana na Angela. kwa kweli alikuwa mzuri sana nilimkubali kila kitengo. Ila ukweli yeye ndo alidata kabisa juu yangu alinipenda sana kuliko mimi nilivyokuwa nikimpenda. Siku moja, nilipigiwa simu na mtu...
Wanapatikana wapi jamani? mbona mimi siwaoni.
Natafuta binti mzuri aliyezalishwa na kutelekezwa ila anayejitambua, ambaye ana uhakika hana mawasiliano na baba mtoto na hatarajii hilo litokee. Ikiwezekana ambaye hajui hata baba mtoto yuko wapi. awe mkomavu wa maisha kwa ujumla. Niko tayari...
Poor analysis.
Wewe unaangalia uzuri wa nje/mwili/mwonekano wa shape tu. Umesahau uzuri mwingine wa akili, ukomavu wa maisha, uzuri wa papuchi yenyewe unaweza kukuta binti ana shape nzuriiii, subiri sasa avue chupi, utatamani uahirishe mechi.
Nilishawahi kumuhangaikia demu mkali siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.