Kampuni ya mabasi ya Al-Saedy yanayofanya safari zake Dar-Iringa wanafanya uhuni na dharau kwa abiria bila kufikiri madhara yake.
Abiria wanakatiwa tiketi gari ya saa moja na nusu, mnafika stend ratiba inabadilishwa mnaondoka saa tatu.
Nyingine ratiba inaonyesha kuondoka saa tatu, wao wanaondoka saa mbili na nusu.
Abiria wanaachwa kwa kisingizio cha kwamba ulitakiwa kuripoti nusu saa kabla ya safari. Leo, juni 28 gari la saa3 limeondoka saa mbili dk 40 juu ya alama. Mbaya zaidi abiria aliyefika saa mbili dk 42 anajibiwa kwa kejeli na dharau kwa nini hukufika saa mbili na nusu.
Huu uhuni hauvumiliki, sijui trafic police wanaokagua wanafanya nini? Au nao ni sehemu ya huu uhuni...
Sawa, tunawaachia kampuni yenu, tunahamia rasmi makampuni mengine. Ila mjue kabla yenu yalikuwepo makampuni makubwa ila leo wako juu ya mawe.
Wasalaam,
Mimi muathirika.
Abiria wanakatiwa tiketi gari ya saa moja na nusu, mnafika stend ratiba inabadilishwa mnaondoka saa tatu.
Nyingine ratiba inaonyesha kuondoka saa tatu, wao wanaondoka saa mbili na nusu.
Abiria wanaachwa kwa kisingizio cha kwamba ulitakiwa kuripoti nusu saa kabla ya safari. Leo, juni 28 gari la saa3 limeondoka saa mbili dk 40 juu ya alama. Mbaya zaidi abiria aliyefika saa mbili dk 42 anajibiwa kwa kejeli na dharau kwa nini hukufika saa mbili na nusu.
Huu uhuni hauvumiliki, sijui trafic police wanaokagua wanafanya nini? Au nao ni sehemu ya huu uhuni...
Sawa, tunawaachia kampuni yenu, tunahamia rasmi makampuni mengine. Ila mjue kabla yenu yalikuwepo makampuni makubwa ila leo wako juu ya mawe.
Wasalaam,
Mimi muathirika.