Low self esteem inawafanya wanaume wengi ku date wanawake wabaya wa sura

Hii kusema wanawake wazuri wanakuwa sio smart kichwani nayo ni kuwa na low confidence. Katika kila group ya watu lazima kutakuwa na mabogus na smart hata hao wabaya pia wako kibao sio smart ila kwa vile mmeweka kichwani wanawake wazuri sio smart inaonekana hivyo ila sio kweli eti wengi wao sio smart. Kuna wanawake wengi katika jamii ni wazuri pia ni wana akili.

Halafu pia kuna hii thahabia ya wanaume wakiona wanawake wazuri wamefika sehemu nzuri wanahisi sio akili zao zimewafikisha hapo lazima nyuma kutakuwa na mwanaume amesababisha. Lakini mwanamke mbaya akifika mbali watu wanasema akili zake ndio zimemfikisha aliko 😂 hii nayo inachangia wanawake wazuri kuonekana sio smart. Ni low confidence ya watu tu.
hakuna mwanamke mbaya bali no tafsiri wa maono yako kimsimamo na falsafa yako kiuchaguzi na maamuzi
 
Uzuri wa mtu upo machoni mwa mtu, na hakuna mtu mbaya. Na ndio maanaa huyo unaemuona kwako mbaya kuna mwenzio kafa kaoza hapo. Huwezi lazimisha kilicho kizuri kwako basi kiwe kizuri kwa kila mtu. HAIWEZEKANI. Pia uzuri hupimwa na mambo mengi siyo sura na shape tu
 
Hakuna mwanamke mbaya ,bali inategemea kipi kipaumbele chako kwa mwanamke.
Utamwita mbaya au mzuri kulingana na vigezo individual ambavyo kwa mtu mwingine hatozingatia.

Utamuacha mwanamke sababu anasura mbaya licha ya kua na shepu nzuri ikiwa kigezo cha uzuri kwako ni sura,
Pia mwengine atamuacha mwanamke sababu hana shepu licha ya kua na sura nzuri kwa kua kigezo cha uzuri kwake Ni shepu.
 
Wanaume wengi wanao date wanawake wenye sura na muonekano mbaya wanakuwa na low self esteem. Wanakuwa hawajiamini wanahisi kama muda wowote akitokea mtu anayemzidi pesa au power anaweza kuachwa 😂 au wanakuwa wanahisi wanawake wazuri huwa na wanaume wengi kumbe hata sio kweli hii yote ni kukosa kujiamini.

Wakati mwingine wanahisi ha deserve kuwa na mwanamke mzuri cuz sio type yake yeye type yake ni wale wabaya tu😆 Na vile kama akiwa hana pesa ndio anakuwa hawajiamini kabisa anakuwa anaishi kama mwizi ameona poliçe.

Kuna wakati hata wakipendwa kutoka moyoni hawa amini 😂 sasa mtu unaishi vipi na mtu usiyekuamini unaamua umuache kweli akatafute asiyejiamini mwenzake 😂 hapa ndio anaenda kupata mwanamke hata ajulikani ni mwanamke au vipi kabayaaaa kapo kapo tu hakijulikani ukiwauliza wanasema wanawake wabaya wana tabia nzuri 😂😂😂😂 sasa kajitu kenyewe kabaya lazima awe na tabia nzuri kwa sababu hajiamini 😂😂 tena anaona wewe amekupata kwa bahati atakuwa a najiweka chini tu kwa kila kitu ili asikupoteze.

Tena afadhali wanaume wazee huwa wanajiamini sana kuliko vijana sijui kwanini 😇😇

Poor analysis.
Wewe unaangalia uzuri wa nje/mwili/mwonekano wa shape tu. Umesahau uzuri mwingine wa akili, ukomavu wa maisha, uzuri wa papuchi yenyewe unaweza kukuta binti ana shape nzuriiii, subiri sasa avue chupi, utatamani uahirishe mechi.
Nilishawahi kumuhangaikia demu mkali siku nafanikiwa kumla nilijuta kupoteza muda wangu na pesa zangu. Kidude kinaning'inia utafikiri kamba, alafu hajui kujisafisha ananuka huko chini. nilipiga chini fasta.
 
Tatizo hao ke wenye mvuto sana smart brains ni wachache mno, watu ambao wako powerful zaidi kichwani huwa hatupendelei wanawake ma bogus.

It has nothing to do with self esteem. Ni maamuzi tu ya mtu. Ikumbukwe mtoto anachukua % kubwa ya akili kwa mama yake. so ukichagua mwanamke Bogus then you know wassup!

Thats what i am talking about...
 
Poor analysis.
Wewe unaangalia uzuri wa nje/mwili/mwonekano wa shape tu. Umesahau uzuri mwingine wa akili, ukomavu wa maisha, uzuri wa papuchi yenyewe unaweza kukuta binti ana shape nzuriiii, subiri sasa avue chupi, utatamani uahirishe mechi.
Nilishawahi kumuhangaikia demu mkali siku nafanikiwa kumla nilijuta kupoteza muda wangu na pesa zangu. Kidude kinaning'inia utafikiri kamba, alafu hajui kujisafisha ananuka huko chini. nilipiga chini fasta.

Hakuna kitu nlishawah kasirika kama hicho nishachill nae sana maseacliff huko nishatoboka sana ila nakuja kupiga mzigo daaah tofauti na matarajio ila kuna kitoto nlipataga sura ya kawaida chura wastani mashine v12 katamu balaaa, so sikuiz me wanawake huwa sion utofauti wao sana mpaka nimle yan physical appearance hainishtui , na ndio hapo sion utofauti wao na hata aweje hanishtui aisee, ni ukweli lakin mchungu..
 
Back
Top Bottom