Kutokana na wizara hiyo kupewa askari wa ukweli inasemekana ndo itakuwa wizara bora kutokaxa na kombinesheni ya dokta Pombe na dokta Mwakyembe,ama kweli wizara ya ukweli hii
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29,natafuta binti kwaajili ya kumuoa,awe na umri kuanzia 23 mpaka 27,asiwe mwanafunzi labda wa chuo,pia awe sirious,awe anajiamini,nitafute 0769072588,0652505115 na 0786256380
Wapo wanaume wa aina zote mbili jamani,yupo ambae ukimpenda anakuwa kama dem,mapozi milion,lakini mwingine akipendwa nae anapendeka anakua hana mapazi hata kidogo!!!!
Mkubwa usihofu tatizo la kawaida tu,labda inaonekana ulijichua sana wakati fulani,kama ni hivyo hiyo hali itaisha,ila jitahidi kufanya mazoezi na pia ili mwenzio awe anafika kileleni jitahidi kumfanyia romance ya kutosha kama saa moja au dakika 45 ili ukichoka nae awd ameridhika!!!!
Wewe ni dada mkali una umbo la ukweli halafu una shoga yako nae mkali lakini hakuzidi wewe,huyo shoga yako ana boyfriend handsome mwenye vigezo ambavyo unatamani umpate boyfriend wa namna hiyo,kinachokuumiza ni yule shoga yako anamletea mapozi huyo jamaa kiasi kwamba anakuletea malalamiko wewe...
Vuta picha unatoka kwenye chumba cha guest ulikuwa unado na dem mwingine,kufika mlangoni unapigwa na butwaa mimacho inakutoka kidogo idondoke chini unapomcheki dem wako nae anatoka kudo na njemba nyingine,utakuwa mdogo kama punje ya unga wa ngano au utajinyonga na kamasi??????????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.