mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29,natafuta binti kwaajili ya kumuoa,awe na umri kuanzia 23 mpaka 27,asiwe mwanafunzi labda wa chuo,pia awe sirious,awe anajiamini,nitafute 0769072588,0652505115 na 0786256380
mbona hazipatikani hizi namba?
Namba zinapatikana,ila ni mojawapo kati ya hizo k
Mbona feedback hua hamleti?
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29,natafuta binti kwaajili ya kumuoa,awe na umri kuanzia 23 mpaka 27,asiwe mwanafunzi labda wa chuo,pia awe sirious,awe anajiamini,nitafute 0769072588,0652505115 na 0786256380
mimi ninaumri wa miaka 29 na nusu
bado nasoma
sipendi kuwa serious
kuhusu kujiamini hiyo usiwe na wasiwasi kabisaaaa..
na sipendi kupiga simu ..
na upweke ndo kitu amabacho sikiruhusu maishani mwangu...
Je bado ninahitajika????
jitahidi afro uwe mpweke kidogo halafu huo umri wako punguza japo mmoja. Nitakusaidia kutuma maombi.
jamii forums love search
Hutaki pot?
Naona mods itabidi waitengenezee category yake hii kitu
nakuunga mikono na miguu....