MOROGORO NYUMBANI.
Leo 08:30pm,19/09/2019.
Morogoro,Mji kasoro bahari,wenye mito inayotiririka masaa 24 na mabwawa makubwa lakini maji ni changamoto,umeme nao mita kadhaa kutoka mjini bado ni shida mfano Kasanga,kata ya Mindu.
Naamini onyo la Mh Waziri Mkuu kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro liende...