Kwenye maandamano kulikuwa na fikra hizo hizo kwamba hakutotokea kitu. Well tumeona matokeo yake
Now, ishu hii ya Vikundi vya uwasi sio ishu ya kudharau kama kwenye maandamano, Pure reconciliation inahitajika kitaifa. La sivyo mabaya yanaweza kutokea
Maelezo yako huenda yakawa na ukweli baadhi.
Kuna watu kipindi hichi cha Internet kuzimwa walikuwa wanatumia baadhi ya VPN na wanapata internet. Kwenye simu Tu na wala hawajawasha WiFi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.