Recent content by mtageaugustine

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Mimi binafsi wewe na Nifa nimewafuatilia Sanaa, nikitaka kuangalia drama nzuri nakuja kwenye comment zenu kuangalia mmerecommend nini, then na Mimi napita humohumo[emoji2][emoji2][emoji2], miaka ya hivi karibuni nikaona wote mmepotea mnaonekana mara moja moja tuu, binafsi naweza kusema ni...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Yaani tunaenjoy, under the queen's umbrela, hiyo one dollar bado sijaianza sijui kama ni nzuri
  3. M

    JamiiForums Tanzania Jela miaka 30 kwa kumpa ujauzito mwanafunzi

    Hapo kosa ni kumpa mimba mwanafunzi, haijalishi ana umri gani. Kisheria tafsiri ya mwanafunzi, ni yule ambae yuko primary school au secondary school. Ingekuwa kosa ni kubaka tuu, sasa hapo ndo tungeangalia umri, aliyebakwa ana umri gani, kama binti ana umri chini ya miaka 18 hapo kosa la kubaka...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Afya Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Hivi mbona siku hizi NHIF wanaendelea kupunguza dawa, nimeandikiwa dawa ya duphaston mara kadhaa, lakini ukienda dirashani wanakwambia imeisha nenda kanunue. Kuna siku nilienda hospitali moja ya private wakaniandikia kwenye fomu ya bima nikanunue pharmacy wao hawana, nilitembea pharmacy zote...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Kweli yaani hii weekend bila crash landing on you ni mbaya kwangu pia. May be I should start watching stove league, hope it's gud. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Hivi kamani drama zipi nzuri zinaonyeshwa jumatano na alhamisi. Maana najikuta hizi siku zinakuwa ndefu bila kuangalia korean drama. Msaada wenu jamani maana naona usiku huu kwangu utakuwa ni mrefu sanaa.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Yea exactly. Yaani kila episode mwili unakusisimka.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu na online shopping Kama Kikuu

    Hello guys. Naombeni msaada jinsi ya kuwa contact hawa kikuu. Mimi niko Babati. Nimeutrack mzigo wangu online na uneokana umefika toka jumamosi na mimi nimeupokea. Kiukweli sijaupokea sijui hawa kikuu wamempa nani. Naomba msaad wenu please jinsi ya kuwacontact.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mnijuze Kuhusu mtandao wa manunuzi wa Kikuu

    Mi jamani nimeagiza mzigo nimeutrack na wamesema umefika na nimeaccept. Mi nipo Babati. Na inaonekana umefika two hours ago. Sasa sijui wamempa nani. Nomba mnisaidie anayejua contact zao. Nimechek kwenye app yao sijaona.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Thank u nimeshawithdraw
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Thanks mkuu, nilikufuata ila nikabet kwa uoga kwa stake ndogo sana lakini si haba.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mimi nimefuata thanx alot mkuu. Nimeufuata kama ulivyo. Sijapunguza wala kuongeza. Next time tupia mengine.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kaka asante kwa mkeka huu niliuchukua kama ulivyo kasoro man u, maana nilibet baada ya mechi ya west ham vs man u kucheza. Sasa nasubiri 50,000 + kutoka kwa muhindi.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta dentist mzuri

    Jamani mwenzenu nina meno kama sita hivi yametoboka na tayari nishang'oa manne kwa sababu tofauti tofauti.Mawili yalikuwa yameota vibaya na mawili yalikuwa yametoboka haswaa hata kuziba hayafai. So naombeni msaada wa dentist mzuri wa kuyakarabati na si kung'oa maana nitakuwa kibogoyo.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya Law school of Tanzania, kati ya wanafunzi 500+ walio-clear masomo yote ni 22 tuu!

    Let me tell you the truth, mimi ni kati ya watu àmbao nilipata supp nyingi sana kwenye core subjects. Yaani lilibaki somo moja tu niwe discontinue. Yaani kitendo tu cha kupata supp nilifurahi sana na nikamshukuru mungu kwa sababu nilijua if I work hard nitaclear masomo yote. Sasa kwa wale wanao...
Back
Top Bottom