Recent content by mtaba

  1. mtaba

    Ndugai: Hatuwezi kumlipa mtu ambaye si mtumishi wa Bunge

    kila kitu ni drama hii ndioTanzania
  2. mtaba

    Natafuta mke lakini sina kazi!!!!

    Watanzania kwa maamuzi magumu Tuko vizuri,sasa na Una buku Una njaa unaacha kula unakunywakiroba...maaamuzi magumu💃💃💃💃💃
  3. mtaba

    Competent heavy earth moving machine operator

    Wadau ninatafuta kazi yeyote inayohusiana na heavy earth moving machines like bulldozers, excavator's, dump trucks ,wheeloaders pia kama instructor. Nawasilisha
  4. mtaba

    Kwanini Wayahudi wanachukiwa na jamii nyingi duniani?

    MUNGU aliweka mwenyewe adhabu hiyo ya kuteketeza wanadamu wote kwani ilikua lazima atolewe yesu asulubiwe ili hiyo adnabu isiwepo aiomdoe TUJIULIZE hivi katika maandiko mengi ya kiroho afrika haipo inamaana wakati wa nuhu kulikua hamna wa Afrika enzi za sodoma na gomora afrika ilikua wapi?au...
  5. mtaba

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    ahsante mkuu kubota jamani wanajamvi kuku wangu anatoka uvimbe jichoni kama majipu ni ugonjwa gani naomba msaada kwa anayefahamu nitumie dawa gani
  6. mtaba

    Another Business Plan Forsale

    pig plan amepoteza ubora
  7. mtaba

    Manchester City inatoa dozi ya magoli mengi

    kwani man city imeanzishwa lini pia unafikiri haina wazee.mpira ni burudani bwana wacha wtu waburudike nafsi inapotaka,msisingizie ya jana kama mmeanza kufatilia mpira juzi acha wanaofatilia leo wainjoi,mbona daimond ameanza kuimba miaka hii hadi wazee wanampenda nahisi we ndio walee...
  8. mtaba

    Kuelekea 2015: Tunaomba Daftari la wapiga kura lirekebishwe!

    wanajua kabisa vijana wengi hawana vitambulisho nikiwa na maana hawajaandikishwa au wamepoteza vitambulisho sasa wanlipinga sana jambo hilo kwa kusingizia bajeti ndogo mbona chaguzi ndogo wanaandaa kwa gharama kubwa halafu pesa ya kuboreshea daftari haipatikani SHAME ON YOU wanatakiwa watambue...
  9. mtaba

    Mkutano mkubwa wa CHADEMA kutikisa jiji la Mbeya

    ila kuna ukweli ndani yake hamna mwenye uchungu na maisha ya mtu usipojionea huruma we mwenyewe imekula kwako utasubiri sana
  10. mtaba

    JK awasononesha vigogo wa CCM

    hakuna afadhali nafikiri uwezo wao wakufikiri umekwisha we need change kwa mfumo mzima,kwani anawachagua wamfurahishe yeye na si kuwatumikia watanzania ndo maana shamsi alipewa ubunge ili awe waziri kashindwa sasa,migiro huyoo naye kapewa ubunge awe waziri mbona hampi mbatia uwaziri kama kweli...
  11. mtaba

    Huyu ndiye aliyesema siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa...!

    uswahiba tu na si vinginevyo hakuna kuangalia uwezo wa mtu zaidi ya kujuana.....
  12. mtaba

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    mkuu nami nitumie hapa Ianmtaba@gmail.com nahitaji sana
  13. mtaba

    Polisi waua raia

    kwa hiyo inamaana kwa kua walikua wanataka kuwashambulia ndio waue kwani hawakuwa na mabomu ya machozi maji ya kuwasha polisi wenyewe hawajatii sheria kwani kuua ndio kutii sheria,na siku zote huwa wanaambiwa piga likinuka hua wanawaruka na tatizo kubwa polisi wenyewe wengi hawajui sheria kwa...
  14. mtaba

    Sherehe za CCM Dodoma Zaingia doa, Wang'oa bendera ya CHADEMA, Aden Rage ashuhudia

    hawa wafanya mambo ya ajabu na hayafai kumfanyia binadamu kisa ni wa upinzani mwaka 2010 niliwahi kushtakiwa kwa mkuu wangu wa kazi eti naipenda chadema ni mtu mzima na mvi zake kakomaa na hiyo ishu ccm hawafai na siku wakitoka madarakani watakua kama KANU ya kenya.RIP CCM
Back
Top Bottom