Recent content by mswati wa tz

  1. mswati wa tz

    Kuomba ushirikiano wa kujaza dodoso ili kukamilisha masomo yake ya shahada ya uzamili

    Hii ni kwa ajili ya research ya mwaka wa mwisho wa shahada ya uzamili..
  2. mswati wa tz

    Kuomba ushirikiano wa kujaza dodoso ili kukamilisha masomo yake ya shahada ya uzamili

    Hii imelenga kwa wale wote wanaotumia mitandao ya kijamii katika biashara zao..unaweza saidia kwa ku share na wahusika
  3. mswati wa tz

    Kuomba ushirikiano wa kujaza dodoso ili kukamilisha masomo yake ya shahada ya uzamili

    Kwa wale wajasiriamali wadogo na wakati wanaotumia mitandao ya kijamii kwenye biashara, naomba ushirikiano wenu kwenye kujaza dodoso langu hapa chini. Litachukua dakika 3 tu. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu [emoji120]...
  4. mswati wa tz

    Vanessa Mdee sasa kama Beyonce

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  5. mswati wa tz

    Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

    Leo nimeamini kuwa wanawake ni viumbe visivyoeleweka...kuna thread ililetwa na mwanamke ikizungumzia wanaume wasiojipenda na akawa ana wakandia balaa..sasa hivi nasoma kitu kingine kwa mwingine..kweli mwanamke ni kiumbe kigumu sana kukiridhisha..
  6. mswati wa tz

    Wanawake hatupendi wanaume wazuri wala wavaaji sana

    Leo nimeamini kuwa wanawake ni viumbe visivyoeleweka...kuna thread ililetwa na mwanamke ikizungumzia wanaume wasiojipenda na akawa ana wakandia balaa..sasa hivi nasoma kitu kingine kwa mwingine..kweli mwanamke ni kiumbe kigumu sana kukiridhisha..
  7. mswati wa tz

    TCRA yashusha rungu kwa kampuni 7 za simu kwa huduma mbovu

    Niliamini vifurushi vya tigo bundle za data sio kipimo halisi, nilikuwa nafanya update ya iPhone mb za hiyo update ni exactly 500Mb cha kushangaza nilikuwa na Mb 550 nilipo anza ku update haikumaliza
  8. mswati wa tz

    Wanaume weusi vs wanaume weupe

    Binafsi naona kama wewe ni mhanga wa kuwahi kutoka na mtu mweupe akakuzingua, ila wapo wenye kujali na kupenda kweli kingine ni kutokujiamini kwa wanawake wengi hasa wanapokuwa na watu wa aina hiyo, wanahisi hawatodum nao au wanachipuka kwa namna mmoja au nyingine..sawa na wanaume wengi...
  9. mswati wa tz

    Mume kufukuzwa kazi kumenifundisha kuchepuka, sasa nimekuwa sugu

    Lakini kumbuka yeye ndio kaja kuomba ushauri na sio huyo mume wa mtu
  10. mswati wa tz

    Kampuni ya mafuta/Gas ya BG Group/SHELL lawamani kwa UDINI baada ya kukwepa kulipa kodi ya 1Trillion

    Na uzuri hizo scholarship zilianza kutolewa kwenye uongozi wa kikwete..
  11. mswati wa tz

    Kampuni ya mafuta/Gas ya BG Group/SHELL lawamani kwa UDINI baada ya kukwepa kulipa kodi ya 1Trillion

    Ndugu yangu inaonekana bado hujaelimika kabisa..hizo scholarship zilitangazwa kwa watanzania wote bila kujali unatoka bara au visiwani nafasi walikuwa wanatoa 10 tu kila mwaka Wa masomo..ila kinacho tuathiri wengi hatutafuti information kwa wakati mimi nilikuwa mhanga wa hilo nilikuja kupata...
Back
Top Bottom