Uko sahihi kiongozi..Hiyo ya kuondoka ni redemption tosha......kuna mtu anamshauri eti amwambie Kaka ake[emoji16] huku huo uzungu haupo atakuwa buree
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mzee wangu wewe ni Fundi wa kusimulia...natamani kuja kuona kitabu chako...Hii ndio comment yangu ya kwanza baada ya Miaka kadhaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
yap kuna huo utaratibu wa kuchanga kwa hiari! Kama siku ukihama mwajiri waweza badilisha mfuko! Ila kama ukiendelea hapo n ngumu. Kuchangia kwa hiari ni kuwa utatoa 20% zote wewe mwenyewe!
LAPF ndo baba lao!
yap kuna huo utaratibu wa kuchanga kwa hiari! Kama siku ukihama mwajiri waweza badilisha mfuko! Ila kama ukiendelea hapo n ngumu. Kuchangia kwa hiari ni kuwa utatoa 20% zote wewe mwenyewe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.