Inna-lilah wainailah rajium, msiba huu! Hekima, busara na mwongozo wa Allah unahitajika kuelewa jambo hili.Sijui elimu imetolewa namna gani kwa pande zote kulielewa jambo hili, nasikitika kuona nyufa ktk taifa kwa jambo ambalo halina madhara kwa asiehusika kabisa wakati likiwa ni mwongozo kwa...
Ndugu inaonekana historia ya Tz huifahamu.Kukumbusha tu, Tanganyika ilipata Uhuru wake 1961 na kua Jamhuri 1962.Mwalimu Nyerere ndie Waziri mkuu na Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Tanganyika.1940 Tanzania ilikua koloni na Nyerere was no body.
Heading yako tu INAKERA. Inawezekana unachokisema ndani...
Habari hapa sio 100% bali ni mambo yafuatayo;
1. Ushindi wa kishindo wa Steven Wasira
2.Ushindi alioupata January Makamba hali akiwa mchanga sana ktk siasa na kuwapita nguli kama Lukuvu
3. Uteuzi na hatimaye kushinda kwa Philip Mangunga
4.Ushindi wa Nchemba hali akiwa mchanga ktk siasa na...
Mkubwa uko sahihi kutambua utumishi wa kipekee wa waheshimiwa hawa.Ila hutakua unawatendea haki wanajamvi kwa kumlinganisha Lowasa na yeyote ktk hawa,ED mwache tu abaki kama yeye. Madai kwamba anaungwa mkono na wan ccm pekee ndio mshangao cdm watakaoupata 2015. Mwacheni ED apange safu yake ya...
Like father like son!Suluhisho la matatizo yetu ni katiba iliokali na straight foward juu ya mambo ya msingi kama muundo/mfumo wa serikali, matumizi ya rasilimali za umma na uwajibikaji.Wala sio nanni kakaa Magogoni.Nikikumbuka wakati Kikwete anachaguliwa 2005 TULIKUA NA MATUMAINI SANA.Angalia...
Ndomaana hata vyombo vya habari havikutoa habari hii. CDM kweli kama ndo msimamo wenu, HAMNA CREDIBILITY ZAKUONGOZA NCHI HII.Bado ni wachanga sana na hata cjui tutaenda wapi-ccm wametuchosha watz bt hatuoni mbadala.
U want cheap popularity at the expense of peopple's lives, assets and country's...
Mohamed Mtoi umesema yote na haya ndio mambo ambayo wanaojidai kuwa na msimamo mkali 'extrimists' hawataki kuyasikia.Swala sio mfumo kristo bali TULILALA WAKATI WENZETU WANAJIPANGA na saa hv tunakurupuka pila stratergy tunaanza kuulaumu mfumo.
TUJENGE TAASISI na tuweke malengo na timelines...
This is the best way in which TIS should operate.Make the maximum use of info & intels u gathered during the professional kidnaping.SORRY FOR ZANZIBARIS AFFECTED BY THE EXERCISE,
Hio ndo picha kamili.Ila mimi sishangai hata kidogo kwani washasema NCHI HAITATAWALIKA.Hivyo yoyote atakaefanya nchi isitawalike naamini watakua wanamuunga mkono.Hawajui kwamba hawa hawa ndo watanzania watakao waongoza post 2015,Nchi tunataka kawapa ila kuna walakini, they are not stratergic nor...
Mkubwa hapo unatupotezea muda, hakuna point hapo.Jaji Warioba yuko sahihi zaidi ya sana.Ni ukweli usiopingika kwamba wabunge wamechaguliwa na ni wawakilishi wa wananchi tulio wengi.Sasa kwamba CCM wako wengi na wengine wachache,huo ndio uamuzi wa wananchi AU unataka wengi wawe wenye mawazo yako...
Acha propaganda, swala hapa ni hoja ya fao lakujitoa.We dont care who brought it up in the first place.What we all know wabunge wote approved the bill to be the law, and that's where we are. Wabunge wote (ccm,cdm,cuf,tlp,udp,nccr) hawako makini coz they were all caught in surprise after...
Ndugu zangu Watanzania,sidhani kama shutuma hizi ni za kubezwa.Sisi kama wananchi tusichukue upande ktk hili,tuache ushabiki.
Nape tunakuombwa uje na your side of the story na CDM muache kujibu kwa ujumla.Tuonyeshe hio mikataba pamoja na kiasi walichopewa.
Ndugu yangu Mnyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.